nashangaa kuona hakuna nafasi ya kazi yoyote ile kwenye hizo halmashauri mpya sasa sijui wanatekelezaje majukumu yao ikiwa hakuna wafanyakazi cha kushanagza hata nafasi za kujitolea hamna...au kama kuna mtu anajua taarifa zaidi atujuze
Mara nyingi kama sio zote Wilaya mpya, na mikoa inapoanzishwa watumishi wengi wanatoka kwenye Wilaya au mikoa ya Zamani i.e wanagawanywa hasa kwa nafasi zinazotaka uzoefu. Baada ya hapo watajaza hizo zingine kwa utaratibu wa kawaida wa ajira. By the way ajira zote sasa hivi zinatolewa kupitia sekretarieti ya Ajira na sina hakika kama umefuatilia huko na kugundua kwamba katika nafasi zote walizoita watu wa Interview siku za karibu hakuna watu wa kwenda huko Nyamagana na Ilemela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.