Mbona simuelewi Mwenyekiti Mbowe?

Pole sana kikulacho safari hii kimekuula wewe mwenyewe. Tafuta swala jingine naona Untuletea ya Mkapa na Vicent huku.Kwani hao wafanyakazi ni wa Chama? Haituusu humu jamvini .........TRY SOME WERE ELSE NOT HERE.
 
Wakati Chadema kupitia Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe, wamekuwa watetezi wa haki za wanyonge lakini cha kushangaza hadi sasa wafanyakazi wake wa Gazeti la Tanzania Daima, wanalia njaa ya kukosa mishahara, je hili ndg zangu ni haki kwa kiongozi mkubwa kama huyu ambaye ameaminiwa na Watanzania wengi kutokana na harakati zake?

hapa unachanganya mambo mzee. Ina maana kampuni ya Tanzania Daima haina management? Au yeye mwenyewe ndo manager au mkurugenzi wake? Pata kwanza hayo then utaweza kuandika ukiwa na uhakika.
 
Business is a separate entity from the owner...[/QUOT
sure katika princepal za biashara moja inaitwa Seperate entry entity ambayo inasema the owner of business and the business are two things differently. biaashara nzuri ni ile inayojiendesha yenyewe, na kama haiwezi kujiendesha hilo ni tatizo la kiutendaji la mkurugenzi na menejimenti yake
 
Mh. Mbowe hastahili kulaumiwa kwa hili kwa kuwa yeye ni Mkurugenzi na si Meneja au Mhasibu ambao ndio wanashughulikia maswala ya Mishahara, Nidhamu, utendaji kazi na mengineyo.
Jamani jaribu kupima jambo kwa darubini kali kabla ya kuandika.

Lakini anatakiwa kuonesha mfano wa kutowanyanyasa wafanyakazi wake.
mbona anadai kuwatetea wengine?
ameshindwa ku control management ya freemedia?
ingekuwa kampuni ya baba Mwanaasha inafanya hivi mngemjibu huyu jamaa hivi?
hata hivyo waajiriwa wa kike pale Daima wanalipwa vizuri tu.
nadhani ni katika ku wa empower women. kudos Mbowe lakini wahurumie na male workers pia
 
Umbea wako peleka gazeti la uharo!mbona mimi ni mwandishi wa tanzania daima sijalia!achana na mwenyekiti wetu.
 
Wakati Chadema kupitia Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe, wamekuwa watetezi wa haki za wanyonge lakini cha kushangaza hadi sasa wafanyakazi wake wa Gazeti la Tanzania Daima, wanalia njaa ya kukosa mishahara, je hili ndg zangu ni haki kwa kiongozi mkubwa kama huyu ambaye ameaminiwa na Watanzania wengi kutokana na harakati zake?

safi sana ndugu. na si mbowe tu hata Mengi naye hivyo hivyo.
ni wanafiki wa majukwaani ila ukiwachunguza mh!
 
Wewe unaropoka tuu... kasome sheria za makampuni utajua zaidi Kwamba kampuni ni tofauti na mmliki wake...
 
hajui asemalo atakuwa ametumwa kweli, hiyo ni kampuni yenye uongozi na mbowe si mmoja wa viongozi katika gazeti hilo sas yeye anatoka wapi hapa,
 
Wakati
Chadema kupitia Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe, wamekuwa watetezi wa
haki za wanyonge lakini cha kushangaza hadi sasa wafanyakazi wake wa
Gazeti la Tanzania Daima, wanalia njaa ya kukosa mishahara, je hili ndg
zangu ni haki kwa kiongozi mkubwa kama huyu ambaye ameaminiwa na
Watanzania wengi kutokana na harakati zake?
Magamba mnahangaika mno, poleni sana. Chama chenu kimekufa tu hata mfanyeje! Na hivi ndio mnaharibu kabisa tunawaona matapeli tu.
 
Wewe umedai umejiunga na Jf kwa sababu ya wajumbe wa tume ya katiba kutoka zanzibar, sasa mambo ya huyu mjinga yanakuhusu nini? wacha majungu wewe!
Zanzibar ipo afrika na afrika ni yetu sote, Zanzibar ni nchi ndogo sana na ikiwa mtagombana hatuwezi kuweka WAKIMBIZI! kwa hiyo nina haki ya kuchangia mambo yanayohusu Afrika!
 
Yupo mwanafilosofia mmoja ambaye aligawa watu katika makundi matatu ya kujifunza.Makundi hayo ni GOLDEN Leaners, SILVER Learners na IRON Learners.Kundi hili la Iron Learner linajumuisha watu ambao Bongo zao hufananishwa na CHUMA.Uwezo wao wa kufikiri na kupokea mambo ni mdogo sana.Hawawezi kupambanua mambo kutokana na bongo zao.Mtaalamu huyu alienda mbali na kushauri kuwa kundi hili lijishughulishe zaidi na mambo ya kutumia nguvu km kupiga zege,kupasua mbao,kuboa miamba ndani ya masimo ya dhahabu na tanzite(hii mfano ni yangu) na kazi nyingine zifananazo na hizo.

Bwana huyu hakuitajika kuwa na PhD ili aweze kufahamu kuwa mwenye kampuni na utawala wa kampuni ni vitu tofauti.Angeweza kujua hata kwa kuuliza lakini hakufanya hivyo.Hapa amenionyesha kuwa uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana na nimemuweka ktk kundi la Iron leaners.Namshauri akakoroge zege au akafanye kazi nyingine zifananyo na hizo kuliko kupoteza muda wake kwa kuandika mambo yasiyo na mashiko na ambayo hawezi kuyathibitisha
 
Kampuni haina uhusiano na Mbowe, vipi kampuni hiyo haina manager? Au manager ni Mbowe?

Jibu zuri sana,mbowe anaingiaje hapo? Kwani mbowe ndio mtu wa payroll? Mbowe ndio HR? Mtoa uzi acha propaganda za maji taka,peleka malalamiko yako HR&Admin au Finance!
 
Back
Top Bottom