Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Kwasababu zinabanguliwa kienyeji hakuna resources.Mimi kinachoniumiza Ni kauli za viongozi wetu kuwa korosho zetu hazina viwango
Wakapunguza Bei na zengine zinarudishwa.
Hapo kwa ujumla tumeshaliua soko la korosho maana duniani korosho yetu haitakua na thamani na itanunuliwa kwa Bei ya chini.
Viongozi acheni kauli za kisiasa kwenye Mambo ya msingi kwa kauli zenu zinaacha madhara makubwa