Mbona pori letu moja?

Mbona pori letu moja?

Kina johnthebaptist chawa wa mama wanatuona manyani.

Ukisema jambo fulani limekosewa, jibu lao wanakwambia kama umekereka nenda kaishi Burundi.

Yaani hela ya kula huna ndiyo utakuwa na nauli ya kukupeleka Burundi kuishi?

Wanatuona Manyani!!!!!
Screenshots_2023-09-22-16-49-00.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom