Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Siasa za Tanzania michosho hazina tena mvuto Ni hasara na kupoteza muda kuzijadiri!Najiuliza tu, mbona mwenyekiti wa TLP Augustine Lyatonga Mrema alianza kumuunga mkono mstaafu Kikwete na sasa anamuunga mkono Rais Magufuli lakini akiwa huko huko TLP. Sasa iweje hawa wanasiasa vijana tena wengine wageni tu siasani wasijifunze kwa Mrema na badala yake wanalitia taifa hasara kwa kurudia uchaguzi?!!! Ni wakati sasa wa CCM kuwa macho isijekuwa hawa jamaa wana ajenda ya siri. Ni hayo tu!
Ebu fikiria lijitu linajiona kuwa ubunge ni wa kwake wakati lilibebwabebwa na chama likaupata kisha linajitoa kwa sababu limehongwa au linatafuta sifa!
Hii inapelekea kutojua mwanasiasa ni yupi na mfanyabiashara ni yupi!!