Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,671
- Thread starter
- #41
Mwanangu umetema POINTS TUPU!!Kitu kipya na used ni tofauti sana mkuu.
Km unabisha hebu nunua simu mpya halafu kanunua used. Halafu siku moja chukua hiyo mpya nenda nayo misele. Siku nyingine chukua used nenda nayo misele. Halafu pima siku ambayo ulikuwa na simu mpya ulijisikia na siku ambayo ulikuwa na used nayo ulijisikiaje?
nzuri sana hiyo kwanza inakufanya 1.umuamini mpenz wako
2. Inaleta heshima na amani ya roho
3. Inakufanya ujione ww ni bora kuliko wanaume ww, kutunziwa bikira unafikiri mchezo.
4. Inaongeza mapenz sana, utampenda mkeo mpaka bac
hata mm huwa natamani sana mke wangu ningemkuta bikira.
Kuoa mwanamke BIKRA ni FAHARI ya mwanaume.
Bikra ni zawadi pekee mwanamke anayoweza kumpa MUME wake.
MTAKE MSITAKE.
Maana yake ni kuwa MLIOOLEWA BILA BIKRA mmekosa zawadi ya kuwapa waume zenu.