Mbona mimi sipati demu bikra?

kwanza sikushauri sana kutafuta hao bk lakn kukutana na bk ni kama bahati tu binafsi nimekutana nao kadhaa bt tena kuna mmoja alikuwa kanipita hadi umri mpaka nilishangaa lakn kwa sasa thina hata mpango nao kwani ni ngumu sana kuwaachA yaan wanakugandA kama ruba mpaka unajuta kwann ulimtoa hyo hymen ,especially kama huna future naye.na kwasasa nikkutana na demu na nikjua kuwa ni bikrA nampotezea .
 
Niaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx!!!

Sasa issue iko hivi mazee :
Toka nijiingize kwa masuala ya mapenz mwaka 2011 nilipo maliza form six, cjawah kubahatika kukutana na DEM Virgin...

Yaan kila DEM namkuta used tuu, cjui ma kina nani huwa yananiwahi kubabake....

Manzi wa kwanza nilimpata shule moja nilikua napiga tempo tabora kule alikua form two...
Nikawa na iman 90% huyu bado huyu..
Heeee cku nampeleka getto (my first time to have sex) nakuta dogo ashafunguliwa.. Shiiiit!!!

Haya nikaenda chuo....
Nilipo maliza nikakutana na manz mwingine kamaliza chuo na yy, cku nampeleka Moveck hotel pale ubungo maziwa aaargh na yy nakuta ashafumuliwa kitaambo...
Tena tuko kwa kitanda pale akasema alisha date na wanaume wawili..
This is Bull Shiiiit...

Sasa nimeamua nijitoe kwanza kwa haya mambo natafuta mbinu za kumpata DEM Namie niwe wa kwanza kumfungua ndio niridhike...

Sasa mazee ambao mshawah kufungua MADEM...
Mnatumia mbinu gan, yaan niwafate MADEM gan wanafunz? Form ngap? Chuo?? Level gani nipate bikra??

Staki kuchezeana na binti wa watu..
Nataka kuoa actually (I am 26 now)
But kuoa mwanamke bikra ndio tamaa yangu kubwa sana..

Nisaidien tafadhal USHAURI.
ukiwa kama hujawah kukutana nao unakuwa na mzuka sana.bt hyo shughuli inahtaj uwe na roho mbaya na mkatili ndo utafanikisha lakn syo kirahsi kama unavyofikiria kwakuwa mtoa post una mzuka sana na hyo ktu hebu nenda pemba utakutana nao
 
kitaani bikra kibao za kubana na limao au ndimu zipo nyingi sana mkuu alafu usiombe ukutane na demu anayejua kuigiza u bikra ni nomaa!
 
Umeshapoteza sifa za kukutana na bikra ndugu yangu, hii kitu hupatikana ktk ile michezo ya baba na mama na kujificha.
 
Vipi kama hujawah kuwachezea and the unlucky thing hujawah kukutana na bikra
Yan nyie wanaume nnachezea wasichana watu mnaona haitoshi mnatafuta na madecent nao muwaharibu afu baadae mseme wasichana wote madunga embe woi
 
Frankly na Mimi sijawah kukutana nayo ila ipo siku ntaiotea ,mi naona raha kishenz kumfundisha kamchezo
Wapo hata chuo kikuu,ila msichana BIKRA sitaki hata kumsikia,ni mateso tu wala hufaidi.USED ndo kila kitu tena akijua kuisimamia ndo balaa,NANI ANATAKA MAGOGO KISA BIKRA??????
 
Kitu kipya na used ni tofauti sana mkuu.
Km unabisha hebu nunua simu mpya halafu kanunua used. Halafu siku moja chukua hiyo mpya nenda nayo misele. Siku nyingine chukua used nenda nayo misele. Halafu pima siku ambayo ulikuwa na simu mpya ulijisikia na siku ambayo ulikuwa na used nayo ulijisikiaje?
nzuri sana hiyo kwanza inakufanya 1.umuamini mpenz wako
2. Inaleta heshima na amani ya roho
3. Inakufanya ujione ww ni bora kuliko wanaume ww, kutunziwa bikira unafikiri mchezo.
4. Inaongeza mapenz sana, utampenda mkeo mpaka bac
hata mm huwa natamani sana mke wangu ningemkuta bikira.
Hapa umemaliza kila kitu Mkuu....wanaume watakao pinga hapa itakua ni kaunafiki ka kiwango cha SGR
 
Huo ndo ukweli ambao watu wanaukimbia
Huwa nawaonea wivu sana walioheshimiwa kwa kupewa hii.kitu....na hii ni point pekee ambayo.hata mai waifu akiletaga za kuletwa huwa namkumbusha kuwa unaleta hizo.as if sikukuta wazee wa kazi washapita...anatia heshima..nadhani angekuwa bikra ningekuwa full adabu
 
Back
Top Bottom