euca
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 3,741
- 4,081
kwanza sikushauri sana kutafuta hao bk lakn kukutana na bk ni kama bahati tu binafsi nimekutana nao kadhaa bt tena kuna mmoja alikuwa kanipita hadi umri mpaka nilishangaa lakn kwa sasa thina hata mpango nao kwani ni ngumu sana kuwaachA yaan wanakugandA kama ruba mpaka unajuta kwann ulimtoa hyo hymen ,especially kama huna future naye.na kwasasa nikkutana na demu na nikjua kuwa ni bikrA nampotezea .