alliJAY4_four
Senior Member
- May 4, 2017
- 173
- 95
one week kabla walisema wingu limeenda south Africa kutokana na kimbunga savannah, hivyo mvua zitakua chache sana mwaka huu.
Leo wamekuja na taarifa eti kutakuwa na mvua kubwa sana kwa week moja.....sasa mbona siwaelewi?? hii mvua kubwa inasababishwa na wingu gani wakati wamesema wingu la mvua kubwa halipo tena ukanda huu? au vipimo vyao ni vya kukurupuka?
Leo wamekuja na taarifa eti kutakuwa na mvua kubwa sana kwa week moja.....sasa mbona siwaelewi?? hii mvua kubwa inasababishwa na wingu gani wakati wamesema wingu la mvua kubwa halipo tena ukanda huu? au vipimo vyao ni vya kukurupuka?