kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,819
Wazima wakuu,
Ukipitia guide book ya tcu MD ndo kozi yenye sifa ngumu kujiunga.. Inataka kuanzia point 8 alafu uwe na atleast Phys D, Chem C na Bios C.. Hizi sifa zimeshiba, wakati kozi zingine nyingi zinataka point 4.
Sijajua kwanini hasa imekuwa hivyo, au wanataka kurudisha ile heshima ya daktari ya zaman, kwamba ukimuona daktari unahisi kama sio kiumbe wa kawaida hivi.
Mwenye uelewa na hili anieleweshe kidogo, bado sijapata logic hasa kwanini sifa za kujiunga na masomo ya udaktari yawe special hivi..
NB: Mtakaopata nafasi za MD jueni kuna mlima wa kuupanda hadi kufikia mwisho mwema, ni shule iliyojaa tabu na manyanyaso''minyonyo'' iliyopo huko si mchezo, jiandae kisaikolojia kupambana na maneno yanayouma kutoka kwa''machief''.. But kutoboa is very possible
KARIBUNI KWENYE FANI
Ukipitia guide book ya tcu MD ndo kozi yenye sifa ngumu kujiunga.. Inataka kuanzia point 8 alafu uwe na atleast Phys D, Chem C na Bios C.. Hizi sifa zimeshiba, wakati kozi zingine nyingi zinataka point 4.
Sijajua kwanini hasa imekuwa hivyo, au wanataka kurudisha ile heshima ya daktari ya zaman, kwamba ukimuona daktari unahisi kama sio kiumbe wa kawaida hivi.
Mwenye uelewa na hili anieleweshe kidogo, bado sijapata logic hasa kwanini sifa za kujiunga na masomo ya udaktari yawe special hivi..
NB: Mtakaopata nafasi za MD jueni kuna mlima wa kuupanda hadi kufikia mwisho mwema, ni shule iliyojaa tabu na manyanyaso''minyonyo'' iliyopo huko si mchezo, jiandae kisaikolojia kupambana na maneno yanayouma kutoka kwa''machief''.. But kutoboa is very possible
KARIBUNI KWENYE FANI
