Mpunga unatangulizwa kwanza kwa nyange nyangeYani leo nimeshangazwa sana. Mabasi yanakanyaga twende sisi wengine speed imezidi 53 tunapigwa fine
Na mimi nimehisi hivyo..mabasi kwenye 50 yaneaenda 120
Mabasi mengi alarm unalia mwanzo wa safari Hadi mwishoHakuna 120 mzee basi speed mwsho 85km/hr tu ila wanatakiwa watembee mwsho 80km/hr hizo 5 wameekewa za ku overtake....
Akizidi 80km/hr tuseme akifika 81 alarm inalia so ukiona alarm inalia ujie yupo hapo kati ya 81 na 85 wengi wanao wahi kabla ya wenzao wananunua tochi kwny 50 wanaamsha na hyo hyo 80 so wanawah kufika...
Ila akitaka anaeza kuendesha 120 kama yupo tayari kulipa faini sumatra mana sumatra wao wanangalia nani kazidi 85..
Wananunuaje..maana nmeiona basiHakuna 120 mzee basi speed mwsho 85km/hr tu ila wanatakiwa watembee mwsho 80km/hr hizo 5 wameekewa za ku overtake....
Akizidi 80km/hr tuseme akifika 81 alarm inalia so ukiona alarm inalia ujie yupo hapo kati ya 81 na 85 wengi wanao wahi kabla ya wenzao wananunua tochi kwny 50 wanaamsha na hyo hyo 80 so wanawah kufika...
Ila akitaka anaeza kuendesha 120 kama yupo tayari kulipa faini sumatra mana sumatra wao wanangalia nani kazidi 85..
Jamaa hawana muda hata na hio alarm wanaamsha tu, yani mwanzo was safari hadi mwisho kile kidude kinawapigia kelele tuHakuna 120 mzee basi speed mwsho 85km/hr tu ila wanatakiwa watembee mwsho 80km/hr hizo 5 wameekewa za ku overtake....
Akizidi 80km/hr tuseme akifika 81 alarm inalia so ukiona alarm inalia ujie yupo hapo kati ya 81 na 85 wengi wanao wahi kabla ya wenzao wananunua tochi kwny 50 wanaamsha na hyo hyo 80 so wanawah kufika...
Ila akitaka anaeza kuendesha 120 kama yupo tayari kulipa faini sumatra mana sumatra wao wanangalia nani kazidi 85..
jamaa wanatembea hapo hapo kwenye alarmHakuna 120 mzee basi speed mwsho 85km/hr tu ila wanatakiwa watembee mwsho 80km/hr hizo 5 wameekewa za ku overtake....
Akizidi 80km/hr tuseme akifika 81 alarm inalia so ukiona alarm inalia ujie yupo hapo kati ya 81 na 85 wengi wanao wahi kabla ya wenzao wananunua tochi kwny 50 wanaamsha na hyo hyo 80 so wanawah kufika...
Ila akitaka anaeza kuendesha 120 kama yupo tayari kulipa faini sumatra mana sumatra wao wanangalia nani kazidi 85..
jamaa wanatembea hapo hapo kwenye alarmJamaa hawana muda hata na hio alarm wanaamsha tu, yani mwanzo was safari hadi mwisho kile kidude kinawapigia kelele tu
. Nywiiiii nywiiiii nywiiiiiiMabasi mengi alarm unalia mwanzo wa safari Hadi mwisho
Acha kupotosha mkuu!! Wenye mabasi wanachofanya ni kwenye vibao vya 50 tu ndio wanaongea kikubwa na wahusika, ili wapite na zaidi ya spidi hiyo, lakini kwenye vts(alarm) hawana ujanja ndio maana akishafika 85km/h,kika lia lazima tena a punguze mwendo, hivyo hivyo lakini aseme azidi kukanyaga mafuta tu, huo mkeka(faini) atakayokutana nayo huko latra ni balaa, unaweza kukutana na mkeka wa hadi milioni moja ndani ya mwezi mmoja!! Kwani ni mfumo tu ndio unafanya kazi!Jamaa hawana muda hata na hio alarm wanaamsha tu, yani mwanzo was safari hadi mwisho kile kidude kinawapigia kelele tu
Wenye mabasi wanalipa faini in advance... Pesa zishapelekwa kabla hata ya safari kuanza...
Cc: mahondaw
Wale kila siku wanapita humo..na wale kila siku wanasimama humo na tochi zao hivyo washazoeana,wanajuana !Yani leo nimeshangazwa sana. Mabasi yanakanyaga twende sisi wengine speed imezidi 53 tunapigwa fine
Jaribu kuovertake na 55 kwenye 50Hakuna 120 mzee basi speed mwsho 85km/hr tu ila wanatakiwa watembee mwsho 80km/hr hizo 5 wameekewa za ku overtake....
Akizidi 80km/hr tuseme akifika 81 alarm inalia so ukiona alarm inalia ujie yupo hapo kati ya 81 na 85 wengi wanao wahi kabla ya wenzao wananunua tochi kwny 50 wanaamsha na hyo hyo 80 so wanawah kufika...
Ila akitaka anaeza kuendesha 120 kama yupo tayari kulipa faini sumatra mana sumatra wao wanangalia nani kazidi 85..
kuna siku natoka sumbawanga dar na bus flani namsikia dereva anamwambia knda weka lak 2 ya toch pembeni tusije lala moroWenye mabasi wanalipa faini in advance... Pesa zishapelekwa kabla hata ya safari kuanza...
Cc: mahondaw