Mbona kama kapotea huyu mchezaji wa dunia, Ronaldinho Gaúcho

Mbona kama kapotea huyu mchezaji wa dunia, Ronaldinho Gaúcho

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
330
Reaction score
1,244
MAISHA YA MSTAHAFU 😎

Hivi ndivyo anavyoishi mtu aliyeshinda kila kitu kwenye soka la dunia hii.

Alimpa mama yake kila alichoweza, pesa, furaha na hata umaarufu. Aliifurahia kazi yake ya soka kutoka mwanzo hadi mwisho. Alifanya makosa, lakini yalibaki kuwa sehemu ya safari yake.

Alinyakua Kombe la Dunia mwaka 2002, UEFA Champions League mwaka 2006, na Ballon d’Or mwaka 2005. Pia alishinda Copa América, Kombe la Mabara, na mataji ya ligi Hispania na Brazil.

Baada ya kustaafu, alikamatwa Paraguay mwaka 2020 kwa sakata la pasi, akapewa dhamana, na hatimaye kuondolewa mashitaka yote.

Sasa anaishi kwa amani, akisafiri, kuhudhuria matamasha, na kufurahia maisha bila presha. Dunia ya soka haitasahau tabasamu na uchawi wake alipokuwa uwanjani.

Jina lake ni Ronaldinho Gaúcho.
1000144669.jpg
 
MAISHA YA MSTAHAFU 😎

Hivi ndivyo anavyoishi mtu aliyeshinda kila kitu kwenye soka la dunia hii.

View attachment 3440059
Chief,umeandika kukebehi au unatuhabarisha?hayo si maisha ya kawaida tu mtaani mzee?hajachoka huyo siyo mwenzako.

Unaona hapo pembeni pana ubavu wa mbuzi unaiva kwa mvuke nikikwambia hapo ulipo sogea bar ya pembeni hapo uagize japo mbavu mbili za mbuzi sidhani kama utathubutu maana budget yako ya leo mpaka usiku utakuwa umeivuka na nahisi utalala njaa.
 
Chief,umeandika kukebehi au unatuhabarisha?hayo si maisha ya kawaida tu mtaani mzee?hajachoka huyo siyo mwenzako.

Unaona hapo pembeni pana ubavu wa mbuzi unaiva kwa mvuke nikikwambia hapo ulipo sogea bar ya pembeni hapo uagize japo mbavu mbili za mbuzi sidhani kama utathubutu maana budget yako ya leo mpaka usiku utakuwa umeivuka na nahisi utalala njaa.
Labda alitaka Ronaldinho hapo alipokaa pembeni mwa Swimming Pool,awe kavaa suti na viatu vikali,pamoja na macheni shingoni.
 
Chief,umeandika kukebehi au unatuhabarisha?hayo si maisha ya kawaida tu mtaani mzee?hajachoka huyo siyo mwenzako.

Unaona hapo pembeni pana ubavu wa mbuzi unaiva kwa mvuke nikikwambia hapo ulipo sogea bar ya pembeni hapo uagize japo mbavu mbili za mbuzi sidhani kama utathubutu maana budget yako ya leo mpaka usiku utakuwa umeivuka na nahisi utalala njaa.
Mbavu ya mbuzi 35k akinunua mbili tu ni 70k hiyo ni budget yake wa kula zaidi ya week moja.
 
MAISHA YA MSTAHAFU 😎

Hivi ndivyo anavyoishi mtu aliyeshinda kila kitu kwenye soka la dunia hii.

Alimpa mama yake kila alichoweza, pesa, furaha na hata umaarufu. Aliifurahia kazi yake ya soka kutoka mwanzo hadi mwisho. Alifanya makosa, lakini yalibaki kuwa sehemu ya safari yake.

Alinyakua Kombe la Dunia mwaka 2002, UEFA Champions League mwaka 2006, na Ballon d’Or mwaka 2005. Pia alishinda Copa América, Kombe la Mabara, na mataji ya ligi Hispania na Brazil.

Baada ya kustaafu, alikamatwa Paraguay mwaka 2020 kwa sakata la pasi, akapewa dhamana, na hatimaye kuondolewa mashitaka yote.

Sasa anaishi kwa amani, akisafiri, kuhudhuria matamasha, na kufurahia maisha bila presha. Dunia ya soka haitasahau tabasamu na uchawi wake alipokuwa uwanjani.

Jina lake ni Ronaldinho Gaúcho.View attachment 3440059
Yani mwanzo uliasharia sitofahamu kama amekufa, kutojariwa na watu au serikali mwisho umeonyesha tafsiri isiyotarajika kuwa anaishi vizuri anafurahia maisha yake ila Yote na Yote YESU ANAKUPENDA
 
Back
Top Bottom