Aiyaiyaaa iyaaa iyaaa mamaJua lileee literemke mamaaa
Ha haaaaa mzee wangu acha kukufuruTafuta pesa ununue gari...
miguu sio ya kutembelea, ni ya kusimamia
Halafu Ni hatari kuwa karibu na putururu na jua Kama hiliNdio mfue mashuka
HahahahTafuta pesa ununue gari...
miguu sio ya kutembelea, ni ya kusimamia
Uko chini ya Mwembe na Tecno yako hio!Huku nilipo hata jua halijaonekana mpaka muda huu naandika
Kuna upepo kiasi na baridi kwa mbali.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Hii code sijaipataWaja Leo waondoka leo
Sasa mkuu utashinda kny gari na nyumbani?Ukiwa na Pesa utajiwekea mazingira ya kutokuchomwa na jua. Utatembelea Gari yenye kiyoyozi, Nyumbani utaweka Kiyoyozi na Swimming Pool.. Maisha yanakuwa murua kabisa
Tanga waja leo waondoka leoHii code sijaipata
Apo nimekupataTanga waja leo waondoka leo
Mabeberu are to blame maana twafaHivi wana anga wetu , astronomers/astronauts, wamejiridhisha kweli hakuna mataifa yenye nia ovu na sisi kuwa yameelekeza vioo vya satellite kwa kubeam jua kwenye bode letu la Rufiji ili tusijaze bwawa letu maji?
Au ndiyo ile satellite imebomolewa na Russia (kwa mujibu wa vyombo vya nje RT)?
====
Jua ni kali, kwenye mtandao mmoja wanasema Morogoro siku ya Alhamisi itapata joto la nyuzi 36!
TMO na jeshi letu la anga hawawezi kweli kutudhibitishia kuwa hatujumumiwi.? Mimi naamini uwezo wao. Wafanye uchunguzi haraka.kuna hujuma tunafanyiwa.Mabeberu are to blame maana twafa
Ukiwa na Pesa hata Ofisini tayari kutakuwa na Kiyoyozi..Sasa mkuu utashinda kny gari na nyumbani?