Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Si mlitaka?
Kipindi Cha Magufuli halijawahi Waka kwa ukali hiviJua saa 2 Kama saa 6
Hivi watu hawajalizoea jua badoHata jana ilikuwa hivi hivi bwashee!
Wachawi, wauaji Wana vimbwanga usiombe.Kipindi Cha Magufuli halijawahi Waka kwa ukali hivi
Jana hapana leo huku kwawaka Moto, fire foresee!Hata jana ilikuwa hivi hivi bwashee!
Yes, one can put it this way, the government has been too loose such that all tree have been cut down into charcoal furnaces and hence the current temp riseTuilaumu serikali
Ukiwa na Pesa utajiwekea mazingira ya kutokuchomwa na jua. Utatembelea Gari yenye kiyoyozi, Nyumbani utaweka Kiyoyozi na Swimming Pool.. Maisha yanakuwa murua kabisaPesa zikia mfukoni temperature inashuka? Basi jitumbukize kwenye tanuru la mkaa na billions mfukoni and you will be spared as long as you have money joking
NotedUkiwa na Pesa utajiwekea mazingira ya kutokuchomwa na jua. Utatembelea Gari yenye kiyoyozi, Nyumbani utaweka Kiyoyozi na Swimming Pool.. Maisha yanakuwa murua kabisa
Vizuri.Noted
jana nilikua jiwe gangi jua lilikua kali kweri-kweriHata jana ilikuwa hivi hivi bwashee!
Matofali yenyewe hayaiviMalaika wa zamu anachoma matofali.
Hahahaaaa.........!jana nilikua jiwe gangi jua lilikua kali kweri-kweri
Barabara zimefungwa magendo wapi eeeeeh......Vizuri.
Tafuta pesa sasa.