Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Nauliza tu kama amepita kuaga kwenye vituo? Sio lazima bali ni utamaduni wetu.
Kwa mtu ambaye ametumika na kutumikia ilitakiwa at least atuage na sisi huku!
Anyway kama ameshaenda tunamtakia kila la kheri. Ubalozi mwema!
Kwa mtu ambaye ametumika na kutumikia ilitakiwa at least atuage na sisi huku!
Anyway kama ameshaenda tunamtakia kila la kheri. Ubalozi mwema!
