Hivi unategemea kabsa upate jibu kwenye hilo swali? Mimi nazani waislamu wanabaki kuwa kama binadamu wengine na wanahitaji amani,ustarabu na maendeleo. TATIZO LA WAISLAMU NI YALE MAFUNDISHO YAO YANAFANYA MTU KUWA KAMA MJINGA(ZOMBI) ANGALIA TU MICHANGO YAO HUMUsina vyeti feki na sijawahi kupata maksi kwa kuiba mtihani, hebu we sema kwa usahihi hizo nchi zenye wahamiaji kutoka nchi za kiislam. Umeambiwa why wasikimbilie nchi zenye kujinasibu ni za kiislam zikiwemo nchi kinara wa uisla saudi arabia, iran, oman, pakistan, qatar, kuwait, yemen, uturuki na nyinginezo? Badala yake tunaona waislam wanakimbilia sana nchi za magharibi ambazo si za kiislam