Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
DJ Khaled ni Mpalestina na kwenye hivi vita hajaongea chochote kile, ni kama watu wanataka kumsikia akisema lolote wampoteze.
Bro! Muziki wa Marekani unashikiliwa na Wayahudi. Yaani wao ndiyo wanapanga kila kitu.
Hivi ushawahi kujiuliza kwa nini Waarabu wakiingia vitani wanakwenda kuomba hifadhi Ulaya? Tena kwa watu wanaowaita mashoga, makafiri? Kwa nini wasiende kuomba hifadhi Misri, Uturuki, Saudia ama Oman?
Eeeeh! Hii dunia ina mengi usiyoyajua dogo🤣🤣🤣🤣
Bro! Muziki wa Marekani unashikiliwa na Wayahudi. Yaani wao ndiyo wanapanga kila kitu.
Hivi ushawahi kujiuliza kwa nini Waarabu wakiingia vitani wanakwenda kuomba hifadhi Ulaya? Tena kwa watu wanaowaita mashoga, makafiri? Kwa nini wasiende kuomba hifadhi Misri, Uturuki, Saudia ama Oman?
Eeeeh! Hii dunia ina mengi usiyoyajua dogo🤣🤣🤣🤣