Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 226
- 281
Habar zenu wanajamvi
Nimekua nikijiuliza sana bila majibu mbona Beka flavour hayupo katika tamasha hili la fiesta,
Kwa anayeweza kufahamu sababu tunaomba atusaidie kutujuza kinachoendelea....
Nawasilisha
Nimekua nikijiuliza sana bila majibu mbona Beka flavour hayupo katika tamasha hili la fiesta,
Kwa anayeweza kufahamu sababu tunaomba atusaidie kutujuza kinachoendelea....
Nawasilisha