Mbona bado sijawekewa mshahara?

Mbona bado sijawekewa mshahara?

najua wapo waliokosa naelewa maofsis yetu, watumish ni wasiri hawaambiani uzur wa JF tunapeana ukweli, naomba tushirikiane kuelezana nani amepata muda huu
 
Kuna majina yametolewa ya Watumishi wa UMMA ambao hawatapokea tena mishahara Yao, ni vizuri ukafuatilia ili pressure imepungie
Kwenye link ipi mkuu kuna dogo wangu hajaona kachanganyikiwa
 
Vipi jamaa yangu mpaka Jana jioni alikuwa hajapata vpi kuna wengine pia Bado?
 
Mkuu kuna jamaa yangu pia alienda akakutana na hayo maswaibu jana.....akapewa maelekezo aende kwa HR wake au mwajiri atakutana na maelekezo zaidi.....
Kesho j3 ndio ataenda lakini kuna tetesi ni team vyeti feki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijapata pia na wengine.Inaonekana zinaingia kwa shda maana nimewasiliana na HR akasema mishahara inalipwa kwa system tofauti na ya zamani.
 
Mkuu kuna jamaa yangu pia alienda akakutana na hayo maswaibu jana.....akapewa maelekezo aende kwa HR wake au mwajiri atakutana na maelekezo zaidi.....
Kesho j3 ndio ataenda lakini kuna tetesi ni team vyeti feki

Sent using Jamii Forums mobile app
Vyeti feki mishahara wao ilisimama mwezi wa 5.Ambao hawatapata ni wale darasa ka saba kuanzia 2005

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio wamemaliza kutoa...naenda ATM kila baada ya muda empty

ufafanuzi please

➣ *TAARIFA*

Kwa mara ya Kwanza Serikali imelipa Mishahara ya Watumishi wa Umma wote kwa siku Moja kwa Mfumo wa GSPP

Kama utakuwa hujapata Mshahara basi uelewe kuwa kuna tatizo kwenye Taarifa zako.

TANGAZO:
Mishahara imetoka ni vema kila mtumishi akajiridhisha kama akaunti yake imepokea fedha. Ni Muhimu sana. Tumia NMB mobile au ucheki ATM. Ndiyo system mpya imeanza ya kuingiza mishahara. ENDAPO MSHAHARA HAUJAINGIZWA KWENYE AKAUNTI YAKO, TOA TAARIFA KWA AFISA UTUMISHI KABLA YA KESHO SAA 4 ASUBUHI.

Upatapo ujumbe huu mjulishe na mwenzako.

C&P
 
Back
Top Bottom