Mbona bado sijawekewa mshahara?

Mbona bado sijawekewa mshahara?

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,161
Reaction score
802
Ndio wamemaliza kutoa...naenda ATM kila baada ya muda empty

ufafanuzi please
 
Utaelewa tu ila usisahau kuwa ile kitu ni chaguo letu wenyewe na tuliipenda wenyewe kwa hiyo acha tuisome namba wenyewe kwa sababu hamna namna![emoji30][emoji30][emoji30]
 
Kuna majina yametolewa ya Watumishi wa UMMA ambao hawatapokea tena mishahara Yao, ni vizuri ukafuatilia ili pressure imepungie
 
Back
Top Bottom