Sio uoga. Ni hali ya usalama wetu ndio tunaozingatia. Ukiniambia mie kuandamana kwangu sio ishu nina guts ila nikifikiria kuwa kuna nguvu kubwa sana itatumika dhidi yangu ikiwa inaweza kuondoa hata uhai wangu inakuwa meaningless. Siwezi andamana kama nitapigwa risasi nife na familia yangu ibaki ikiteseka. Siwezi andamana!!!Zaid ya hapo uwoga wa wananchi wenyewe. Atleast wenzetu wanadhubutu kuandamana. Sisi huku jaribu tu kidogo . Inakuwa vita
Nyerere na wenzake wangesema hivyo wakati wa ukoloni tungekuwa wapi sasa?Ndiyo ukweli halisi..
Utapigwa kama mbwa koko, familia itateseka kujaribu kukunusuru na kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha na madawa ya kulevya.
It's not worth it...
Everyday is Saturday........................
Wakoloni hawakuwahi kuwapiga kina Nyerere na co kama mbwa koko...Nyerere na wenzake wangesema hivyo wakati wa ukoloni tungekuwa wapi sasa?
Nyerere na wenzake wangesema hivyo wakati wa ukoloni tungekuwa wapi sasa?
Wakoloni hawakuwahi kuwapiga kina Nyerere na co kama mbwa koko...
Mkuu Kiranga, HISTORY niliyosomeshwa mimi haina manyanyaso ya viongozi wa TAA na TANU, kuchezea virungu wala kufyatuliwa risasi.
Na inasikitisha kuona tumejitawala wenyewe tunatumia mabavu na nguvu kuliko mkoloni.
Everyday is Saturday........................
Thousands of people in New Zealand marched in solidarity Monday with those in the United States protesting the death in police custody of African American George Floyd.
Protesters in Auckland marched to the U.S. Consulate and chanted slogans familiar at U.S. protests, including “black lives matter” and “no justice no peace.”
Monday’s demonstrations followed those Sunday in Britain, Brazil, Canada and other countries.
Thousands of protesters gathered in central London to voice their support for those in the United States who have turned out to condemn police conduct since Floyd’s death last week in Minneapolis, Minnesota.
Floyd died after white police officer Derek Chauvin pressed a knee on the back of his neck for more than eight minutes, even as Floyd repeatedly said he could not breathe.
Protesters in Denmark marched to the U.S. Embassy in Copenhagen on Sunday, carrying placards with such messages as "Stop Killing Black People." In Germany, protesters carried signs saying, "Hold Cops Accountable," and "Who Do You Call When Police Murder?"
Inawezekana, lakini, wangetawaliwa na woga, hata uhuru nchi ingepata?Hao kina Nyerere ndio waliotufikisha hapa tukawa tunaishi kwa hofu tu,
Maisha ya kila siku tu Afrika ni maandamano. Sasa watu waongeze maandamano juu ya maandamano?Tutaharibu maandamano na kukwamisha lengo la Wamarekani. Maana wataachana na agenda yao na kuanza KUANDAMANA KUPINGA MAUAJI WA WAANDAMANAJI AFRIKA.... Over.
Ulishawahi kusikia wao wameandamana kwa ajili yako? Acha wapambane na mambo yao kwanzaThousands of people in New Zealand marched in solidarity Monday with those in the United States protesting the death in police custody of African American George Floyd.
Protesters in Auckland marched to the U.S. Consulate and chanted slogans familiar at U.S. protests, including “black lives matter” and “no justice no peace.”
Monday’s demonstrations followed those Sunday in Britain, Brazil, Canada and other countries.
Thousands of protesters gathered in central London to voice their support for those in the United States who have turned out to condemn police conduct since Floyd’s death last week in Minneapolis, Minnesota.
Floyd died after white police officer Derek Chauvin pressed a knee on the back of his neck for more than eight minutes, even as Floyd repeatedly said he could not breathe.
Protesters in Denmark marched to the U.S. Embassy in Copenhagen on Sunday, carrying placards with such messages as "Stop Killing Black People." In Germany, protesters carried signs saying, "Hold Cops Accountable," and "Who Do You Call When Police Murder?"
Jiulize kwa nini wewe hauandamani?Thousands of people in New Zealand marched in solidarity Monday with those in the United States protesting the death in police custody of African American George Floyd.
Protesters in Auckland marched to the U.S. Consulate and chanted slogans familiar at U.S. protests, including “black lives matter” and “no justice no peace.”
Monday’s demonstrations followed those Sunday in Britain, Brazil, Canada and other countries.
Thousands of protesters gathered in central London to voice their support for those in the United States who have turned out to condemn police conduct since Floyd’s death last week in Minneapolis, Minnesota.
Floyd died after white police officer Derek Chauvin pressed a knee on the back of his neck for more than eight minutes, even as Floyd repeatedly said he could not breathe.
Protesters in Denmark marched to the U.S. Embassy in Copenhagen on Sunday, carrying placards with such messages as "Stop Killing Black People." In Germany, protesters carried signs saying, "Hold Cops Accountable," and "Who Do You Call When Police Murder?"
watanzania na waafrika wengi ni wanafiki mnooKwani kwenye mauaji ya Akwelina na Daudi Mwangosi wananchi wa Tz mlichukua hatua gani labda kwa mfano?
Tuanzie hapo kwanza.
Inawezekana, lakini, wangetawaliwa na woga, hata uhuru nchi ingepata?
Umewahi kuishi chini ya mkoloni mzungu?bora hata tusingeupata, mana mkoloni CCM ni zaidi ya mzungu
Umewahi kuishi chini ya mkoloni mzungu?
Hujajibu swali nililokuuliza, na swali ulilojibu sijakuuliza.acha kasumba mkuu, maisha chini ya madikteta ya kiafrika ni habari nyengine kabisa