Mhina Martin
Senior Member
- Apr 3, 2017
- 197
- 256
Wadau naomba ufafanuzi kitaalamu na kwa wadhoefu waliowahi kutumia mbolea hii mavi ya popo ufanisi wake ni nzuri?na inafanya vizuri Zaid kwenye mazao Gani maana nina kama gunia 15 za kinyes Cha popo
Wewe uliihifadhi kwa ajili ya kilimo cha mazao gani?Wadau naomba ufafanuzi kitaalamu na kwa wadhoefu waliowahi kutumia mbolea hii mavi ya popo ufanisi wake ni nzuri?na inafanya vizuri Zaid kwenye mazao Gani maana nina kama gunia 15 za kinyes Cha popo
Ni mbolea nzuri sana nadhani iko poa kwa mazao yoteWadau naomba ufafanuzi kitaalamu na kwa wadhoefu waliowahi kutumia mbolea hii mavi ya popo ufanisi wake ni nzuri?na inafanya vizuri Zaid kwenye mazao Gani maana nina kama gunia 15 za kinyes Cha popo
Ukiizidisha kidogo tu inaunguza mazaoWadau naomba ufafanuzi kitaalamu na kwa wadhoefu waliowahi kutumia mbolea hii mavi ya popo ufanisi wake ni nzuri?na inafanya vizuri Zaid kwenye mazao Gani maana nina kama gunia 15 za kinyes Cha popo
KilimoWewe uliihifadhi kwa ajili ya kilimo cha mazao gani?
Ahsante kwa ushauriNzuri kwa mazao yote inaunguza sana mazao maana ni kali kama urea inahitaji maji mengi ukiweka!
weka kidogo tu kwenye shina.
Mfano ujazo wa kikombe cha chai weka mashina 3hadi tu ukieweka mawili au moja basi uweke kwa umbali zaidi na umwagilie maji ya kutosha.
Huwa inaifanya ardhi ikakamae.
Ni hayo tu nimewahi kutumia
Duu kumbe ni kali SanaUkiizidisha kidogo tu inaunguza mazao
Achana nayo babu! UTAPATA EBOLA!Wadau naomba ufafanuzi kitaalamu na kwa wadhoefu waliowahi kutumia mbolea hii mavi ya popo ufanisi wake ni nzuri?na inafanya vizuri Zaid kwenye mazao Gani maana nina kama gunia 15 za kinyes Cha popo
Daaa kweli aiseeAchana nayo babu! UTAPATA EBOLA!
Mfano wa magonjwa?Mbolea ya popo, kiafya, haifai kutumika kwenye kilimo kutokana na kuwa na vimelea vingi vinavyosababisha magonjwa hatari kwa binadamu.