DOKEZO Mbogwe: Mwanafunzi apewa mimba na Mwalimu Mkuu, watendaji wapokea rushwa kuficha tukio

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

WrestlerRSF254

JF-Expert Member
Jan 30, 2023
1,199
2,003
Ndugu zangu GT nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya salamu niingie moja kwa moja kwenye mada.

Nisikitike kwamba Serikali yetu ya JMT chini ya Jemedari wetu mwana mama, Dr. Samia Suluhu Hassan anapambana usiku na mchana kuhakikisha mtoto wa kike anapata elimu, lakini bado wapo watu wachache ambao ni viongozi wasio wema wanazidi kumkwamisha.

Rushwa iliyokithiri miongoni mwa viongozi wachache walioaminiwa na Serikali yetu, imekuwa ni tatizo kwa mtoto wa kike kupata elimu ili atimize ndoto zake, ni jambo la kufehedhesha kwakweli, inatia huruma na inahuzunisha sana.

Mimba imekuwa ni tatizo sugu linalorudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike, kwa kukatiza ndoto yao kabisa, na baadhi ya mimba hizi kwa watoto wa kike, wahusika wake ni walimu waliopewa dhamana ya kuwalea watoto hawa.

Katika shule ya sekondari ya Ikunguigazi yenye namba za usajili S4000, iliyo katika kijiji cha Kagera na kata ya Ikunguigazi, tarafa ya Ilolangulu, Wilaya ya Mbogwe, mkoa wa Geita.

Watoto wengi wa kike wamekuwa wahanga wa kupigwa mimba lakini hakuna msaada kwao, Mkuu wa shule ya sekondari ya Ikunguigazi, ndugu Abdillah Hassan Kayago, mtendaji wa kata ndugu Renatus na diwani wa kata ya Ikunguigazi ndugu Paulo Lutandula hawa ndio magwiji wa rushwa na kukandamiza haki kwa mtoto wa kike.

Hao viongozi waliotajwa hapo juu, wamezidi kwa kupokea rushwa na kuzuia sheria isichukue mkondo wake, haki ya mtoto wa kike katika kupata elimu inadidimizwa na viongozi hawa wasioaminifu katika kata ya Ikunguigazi.

Kidato cha nne waliohitimu mwaka jana karibia wanafunzi wanne wametoka na mimba shuleni, kidato cha pili wengi walishindwa kufanya mtihani wao wa FTNA kwa kupigwa mimba.

Mfano mzuri ni mwanafunzi, Naomi ameshindwa kufanya mtihani wake wa FTNA mwaka jana, kwa kupigwa mimba tena na Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Buzigozigo, Mwl John Mpare.

Badala ya kusimamia haki, kuhakikisha mwathiriwa anapata usaidizi ili ndoto yake ya kupata elimu isipotee, ndugu Abdillah Hassan Kayago ambaye ndiye Mkuu wa shule kwa sasa, mtendaji wa kata ndugu Renatus na diwani wa kata ya Ikunguigazi ndugu Paulo Lutandula, ndio wamezuia haki kupatikana kwa kutanguliza matumbo yao mbele kwa kuzuia sheria isichukue mkondo wake dhidi ya mtuhumiwa mwalimu John Mpare.

Tunaomba msaada (wananchi wa kata ya Ikunguigazi) wa taarifa hii kufikishwa kwa waziri wa Elimu Tanzania, ndugu Adolph Mkenda, waziri wa TAMISEMI, Mkoa wa Mkoa wa Geita, Afisa Elimu Mkoa wa Geita, Mkuu wa Wilaya Mbogwe, Mkurugenzi wa Wilaya ya Mbogwe na Afisa Elimu-Sekondari Wilaya ya Mbogwe kwa msaada na hatua zaidi.

Imekuwa ni desturi kwa viongozi hawa waliotajwa hapo juu, kuficha uhalifu unaofanyiwa watoto kike katika eneo lao, wamekuwa ni wanufaika wa rushwa badala ya kusaidia jamii yetu ya Ikunguigazi, kama kuna kiongozi yeyote humu aisaidie jamii ya Ikunguigazi kutuma malalamiko yetu haya ifike kunako stahili na sheria ichukue mkondo wake.

Tunapendekeza (wananchi wa kata ya Ikunguigazi) hawa viongozi waondelewe kwenye nyadhifa zao mara moja, ili kupisha uchunguzi utakao pelekea sheria kuchukua mkondo wake na haki kupatikana kwa wahanga wa unyanyasaji wa kujinsia, kimwili na kisaikolojia wanaopitia watoto wa kike waliopigwa mimba na viongozi hawa kula pesa na kufunika tu pasipo kuchukua hatua yoyote.

Naomi11.jpg

Jina la mwanafunzi Naomi Thomas Busagara likionesha hakufanya mtihani​
 
Ni vyema ukaishauri seriikali kuja na mkakati wa kutokomeza kabisa hili tatizo. Suala la kuwapa mimba watoto wadogo wa shule haliwahusu walimu pekee! Ni jamii nzima inahusika. Na kuna sababu nyingi zinazopelekea jambo hilo kuendelea kutokea.

Kukomaa ili kumfunga huyo mwalimu mkuu, bado hakuwezi kulimaliza hilo tatizo. Kama Taifa tuangalie chanzo hasa cha tatizo, ni nini? Maana siamini ka.a ni kweli wanafunzi wote wanaopata mimba, chanzo ni walimu pekee.

Kuna waharibifu wengi tu, ambao jamii inawafumbia macho. Ila ikitokea amefanya mwalimu, basi kila mtu atasimama kutaka haki itendeke.
 
Mfano mzuri ni mwanafunzi, Naomi Thomas Busagala, mwenye namba za usajili S4878/0024 na PReM namba 20140293289 ameshindwa kufanya mtihani wake wa FTNA mwaka jana, kwa kupigwa mimba tena na Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Buzigozigo, Mwl John Mpare.
Haya walimu, mwaga mboga namwaga sima
 
Hapo anajua akitoka huyo mwalimu yeye atapewa cheo🤣🤣🤣
Mwalimu katisha balaa kataja hadi Prem namba nadhan atakuwa academic master huyu. Hongera kwa kupuliza filimbi ingawa...
Habari ingeweza kuandikwa kwa aya mbili tu ila imechukua kurasa 3😆😅🤣
 
mwalimu anawajibika kutunza mimba kama anawajibika sawa kuliko kwenda kumfunga na kuzalisha watoto wa mitaani
Hii sheria ni kandamizi kabisa kwa Me, utamu tupate wote Me na Ke tena kwa hiyari binafsi afu Ke ajiachie tu pekeyake mtaani ilihali Me tunazidi kupungua kwa kwenda Jela.

Katiba ya Mkoloni ni maumivu tupu kwa Me...

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hapo anajua akitoka huyo mwalimu yeye atapewa cheo🤣🤣🤣
Mwalimu katisha balaa kataja hadi Prem namba nadhan atakuwa academic master huyu. Hongera kwa kupuliza filimbi ingawa...
Husifikiri kila mfichua uozo na uchafu wa hawa viongozi wasiojielewa ni mwalimu ok

Mimi sio mwalimu kaka bali mimi ni mfichua maovu tu, nyie ndo mnaorudisha jamii nyuma.

Ninao taarifa nyeti na mbaya sana kuhusu uchafu na mchezo wanaofanya hao viongozi na nitaziweka hapa

Acha akili yako ifanye kazi yake, kwahiyo mimi nina wivu juu yao? Mbona kila kitu nimeweka wazi?
 
Ni vyema ukaishauri seriikali kuja na mkakati wa kutokomeza kabisa hili tatizo. Suala la kuwapa mimba watoto wadogo wa shule haliwahusu walimu pekee! Ni jamii nzima inahusika. Na kuna sababu nyingi zinazopelekea jambo hilo kuendelea kutokea.

Kukomaa ili kumfunga huyo mwalimu mkuu, bado hakuwezi kulimaliza hilo tatizo. Kama Taifa tuangalie chanzo hasa cha tatizo, ni nini? Maana siamini ka.a ni kweli wanafunzi wote wanaopata mimba, chanzo ni walimu pekee.

Kuna waharibifu wengi tu, ambao jamii inawafumbia macho. Ila ikitokea amefanya mwalimu, basi kila mtu atasimama kutaka haki itendeke.
Ndo tushirikiane mimi na wewe kutokomeza hili tatizo, mimi sijasema ni walimu tu ndo wanaopiga watoto mimba ok

Bali nimechukia mchezo wanaofanya viongozi ok kuendekeza rushwa sawa
 
Hii sheria ni kandamizi kabisa kwa Me, utamu tupate wote Me na Ke tena kwa hiyari binafsi afu Ke ajiachie tu pekeyake mtaani ilihali Me tunazidi kupungua kwa kwenda Jela.

Katiba ya Mkoloni ni maumivu tupu kwa Me...

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Lakini mimi nimejaribu pia kuongelea rushwa humo kaka, tusimame jamii nzima kukemea ujinga huu, haikubaliki bwana kwa mtu mzima kufanya tukio la kijinga kiasi hiko kwa mtot
 
Back
Top Bottom