amani peles
New Member
- Oct 18, 2017
- 3
- 1
Chama cha Skauti wilaya ya mbogwe kimewapatia mafunzo vijana na kushiriki mashindano ya Skauti Taifa wakiwakilisha mkoa wa Geita nakufanikiwa kupata ushindi wa kikombe katika nafasi ya tatu kitaifa katika safu ya Rovers scout,Hivyo wanageita tuzidi kuongeza juhudi kwa mafanikio zaidi,for more see photos.