Mbio za sakafuni za Saed Kubenea kufika ukingoni mapema?

Mbio za sakafuni za Saed Kubenea kufika ukingoni mapema?

Kwenye post ya mtoa mada naomba kuelrweshawa yafuatayo..
1. Hukumu inasema kikizidi kifungo cha miezi 6. lakini adhabu ya Kubenea endapo atapatikana na kosa inasema kifungo kisichozidi miezi sita... UFAFANUZI TAFADHARI KWA ANAYEJUWA ataachishwaje ubunge kwa kofingu hicho
2. Adhabu inatamka mtu hatateuliwa au kuchaguliwa kugombea ubunge kama keshafungwa. Sasa kubenea yeye ni mbunge tayari na sijaona panaposema akishakuwa mbunge halafu akafungungwa nini kinatokea
Kubenea ahukumiwa kifungo cha nje
 
"kibaka, mpumbavu, mjinga na cheo alichonacho ni cha kupewa"...
Hapa Kubenea (kama kweli alisema) atakua amekosea hapo tu kwenye kibaka lakini mengine yote ni sawa kabisaaa.


we jamaa mjanja sana.
 
Nadhani hii hukumu itakuwa ni wake up call kwa Mbunge wetu Kubenea!

Shukrani pia zimwendee hakimu kwa kuangalia maslahi mapana ya nchi kusuhu nchi kuingia gharama nyingine za uchaguzi bila umuhimu wowote.
 
Back
Top Bottom