autorun255
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,105
- 364
mkuu nyanya tu yaweza kusaidia ku kick start ile mashine?! Teheeee prevention is better than cure ngoja nimtengenezee hubby kachumbari lol
Inasaidia kukomaza mbegu na kuongeza nguvu.
mkuu nyanya tu yaweza kusaidia ku kick start ile mashine?! Teheeee prevention is better than cure ngoja nimtengenezee hubby kachumbari lol
sio kamoja tu afu inalala, pamoja na kamoja afu ka fasta... kuna ambao kamoja wanapeleka muda mrefu kweli hadi binti anajiuzulu... huyo ukitaka apeleke cha pili si kuna kushikiana mapanga