Kama hutaki upatikane si UZIME TU, simu ya kwako halafu mwingine akupangie matumizi?Wadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshimdwa kuupata...
Na mimiWakikupa unijuze
Leta maunjanja mkuunia na madhumuni, unaweza kuweka codes na wote wasikupate mpaka watu muhimu...binafsi zipo siku maalum huwa napatikana kwa sms tu, na pia zipo siku huwa namba yangu ukipiga inapokelewa na huduma kwa wateja kama Dstv, Tigo na hata Tanesko
Nimeipendania na madhumuni, unaweza kuweka codes na wote wasikupate mpaka watu muhimu...binafsi zipo siku maalum huwa napatikana kwa sms tu, na pia zipo siku huwa namba yangu ukipiga inapokelewa na huduma kwa wateja kama Dstv, Tigo na hata Tanesko
Soooon, nitakutumia ya kuweka na kutolea.Wadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshimdwa kuupata...
Hasante Mkuu na Je kama nataka kuruhusu baadhi ya no?Soooon, nitakutumia ya kuweka na kutolea.
*21*0027# kuweka
##21# kutoa
okitoa code, toa na za kujitoa*35*0000#
haiwezekaniHasante Mkuu na Je kama nataka kuruhusu baadhi ya no?