meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
MIMI NI MUUMINI MTIIFU WA SIASA ZA DR SLAA!!
MIMI NI CHADEMA ASILIA!!
Mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 Chadema chini ya ukatibu mkuu wa Dr Slaa iliendelea kupiga kelele nyingi moja ikiwa ni ya Dr Slaa kuibiwa kura lakini nyingine ikiwa ni kupambana na kuhitimisha utawala wa mafisadi.
Chadema pia iligundua mapema sana kuwa elimu ya kuikubali Chadema katika vijiji na mitaa haikufika sawasawa hivyo kulihitajika kazi kubwa kuwafikia wanavijiji na wanamitaa na kusimika ofisi za Chadema na mabalozi wa chadema huko 'site'
Kazi hii ilifanyika kwa ustadi mkubwa na matokeo yake tulianza kuyaona mwaka 2014 kwenye mnyukano wa uchaguzi wa serikali za mitaa.ambapo maeneo kama Arumeru mashariki kwa Nassari aliweza kuchukua vijiji zaidi ya 90 kutoka sufuri,pia Arusha mjini ambapo chadema ilizoa nusu ya mitaa yote ya jiji hilo.
Hiyo ni mifano ya kazi iliyofanywa na chadema kujijenga na kutambulika kwa wanachi ndio maana ilipokuja kwenye ubunge haikuwa kazi ngumu kwa chadema kushinda maeneo hayo.
Hata pamoja na ujio wa lowassa Chadema haikutakiwa kuacha mbinu iliyojiwekea yaani kuendelea kujenga chama kwenye msingi au kuendelea kujenga chama kama taasisi.
Badala yake chadema ilikuja na mbinu mbovu kabisa yakuwekeza kwenye mtu....mbaya zaidi mtu ambaye walimuita fisadi.
Chadema wakaikumbatia mbinu ya kuuza sura kwenye media...tukashuhidia picha za mafuriko za kutaka kuionesha CNN,BBC,ALJAZEERA n.k
Yaani chadema ikawekeza kwenye usanii wa kisiasa just to attract international media.
Kwa hili la kuvuta media za kimataifa walifanikiwa lakini aliyeneemeka ni Magufuli kwani kajikuta amepambwa katika siku yake ya kuzaliwa.
Mgombea wa Chadema alijiweka kwenye upande wa washindwa kuanzia siku ya kupiga kura pale aliposema hatakubali matokeo.
Mgombea wa chadema akakurupuka wakati matokeo yanatangazwa na kuanza kuililia tume.
Hizi ni dalili za mtu anayetumia mbinu ya kutafuta media attention.
Ushauri wangu kwa chadema turudi vijijini tuanze mchakamchaka wa kusimika mabalozi wa chadema na wanachama watiifu kwa chadema ambao mwaka 2020 wataipigia kura chadema no matter what happens hawa ndio wafuasi walionao ccm.
2020 chadema iingie na mtaji wa wanachama kadhaa kama ilivyo ccm ili kampeni ziwalenge wachache wasio na itikadi.
Chadema asilia haiwezi kuishi kwa kutegemea hisani ya mataifa ya kizungu hii ni mbinu ya watu wasiojiamini kama wanaweza kuifluence changes.
GROW UP CDM ....
Hii ni kwa hisani ya Chadema asilia.
Usiishie kutukana nikosoe kwa hoja mkuu.Meningitis Hujitambui
Na wala hukuwahi kuelwa falsafa ya movement ya uchaguzi huu....
Lala salama Bongo lala.....Mwanzoni nilifikir uko na akili ila siku zinavyoendelea unaniongezea wasiwasi
Enjoy
Wameshafail hali wakamsaidie kufuga ngombe
Usiishie kutukana nikosoe kwa hoja mkuu.
Ni falsafa mbovu ya chadema kuitumia...
MIMI NI MUUMINI MTIIFU WA SIASA ZA DR SLAA!!
MIMI NI CHADEMA ASILIA!!
Mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 Chadema chini ya ukatibu mkuu wa Dr Slaa iliendelea kupiga kelele nyingi moja ikiwa ni ya Dr Slaa kuibiwa kura lakini nyingine ikiwa ni kupambana na kuhitimisha utawala wa mafisadi.
Chadema pia iligundua mapema sana kuwa elimu ya kuikubali Chadema katika vijiji na mitaa haikufika sawasawa hivyo kulihitajika kazi kubwa kuwafikia wanavijiji na wanamitaa na kusimika ofisi za Chadema na mabalozi wa chadema huko 'site'
Kazi hii ilifanyika kwa ustadi mkubwa na matokeo yake tulianza kuyaona mwaka 2014 kwenye mnyukano wa uchaguzi wa serikali za mitaa.ambapo maeneo kama Arumeru mashariki kwa Nassari aliweza kuchukua vijiji zaidi ya 90 kutoka sufuri,pia Arusha mjini ambapo chadema ilizoa nusu ya mitaa yote ya jiji hilo.
Hiyo ni mifano ya kazi iliyofanywa na chadema kujijenga na kutambulika kwa wanachi ndio maana ilipokuja kwenye ubunge haikuwa kazi ngumu kwa chadema kushinda maeneo hayo.
Hata pamoja na ujio wa lowassa Chadema haikutakiwa kuacha mbinu iliyojiwekea yaani kuendelea kujenga chama kwenye msingi au kuendelea kujenga chama kama taasisi.
Badala yake chadema ilikuja na mbinu mbovu kabisa yakuwekeza kwenye mtu....mbaya zaidi mtu ambaye walimuita fisadi.
Chadema wakaikumbatia mbinu ya kuuza sura kwenye media...tukashuhidia picha za mafuriko za kutaka kuionesha CNN,BBC,ALJAZEERA n.k
Yaani chadema ikawekeza kwenye usanii wa kisiasa just to attract international media.
Kwa hili la kuvuta media za kimataifa walifanikiwa lakini aliyeneemeka ni Magufuli kwani kajikuta amepambwa katika siku yake ya kuzaliwa.
Mgombea wa Chadema alijiweka kwenye upande wa washindwa kuanzia siku ya kupiga kura pale aliposema hatakubali matokeo.
Mgombea wa chadema akakurupuka wakati matokeo yanatangazwa na kuanza kuililia tume.
Hizi ni dalili za mtu anayetumia mbinu ya kutafuta media attention.
Ushauri wangu kwa chadema turudi vijijini tuanze mchakamchaka wa kusimika mabalozi wa chadema na wanachama watiifu kwa chadema ambao mwaka 2020 wataipigia kura chadema no matter what happens hawa ndio wafuasi walionao ccm.
2020 chadema iingie na mtaji wa wanachama kadhaa kama ilivyo ccm ili kampeni ziwalenge wachache wasio na itikadi.
Chadema asilia haiwezi kuishi kwa kutegemea hisani ya mataifa ya kizungu hii ni mbinu ya watu wasiojiamini kama wanaweza kuifluence changes.
GROW UP CDM ....
Hii ni kwa hisani ya Chadema asilia.
Usiishie kutukana nikosoe kwa hoja mkuu.
Ni falsafa mbovu ya chadema kuitumia...
team lowasa sijui wataenda chama gani na mfadhili wao atawatosa si muda mrefu kwani hawana maana kwake ni kama toileti paper
MIMI NI MUUMINI MTIIFU WA SIASA ZA DR SLAA!!
MIMI NI CHADEMA ASILIA!!
Mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 Chadema chini ya ukatibu mkuu wa Dr Slaa iliendelea kupiga kelele nyingi moja ikiwa ni ya Dr Slaa kuibiwa kura lakini nyingine ikiwa ni kupambana na kuhitimisha utawala wa mafisadi.
Chadema pia iligundua mapema sana kuwa elimu ya kuikubali Chadema katika vijiji na mitaa haikufika sawasawa hivyo kulihitajika kazi kubwa kuwafikia wanavijiji na wanamitaa na kusimika ofisi za Chadema na mabalozi wa chadema huko 'site'
Kazi hii ilifanyika kwa ustadi mkubwa na matokeo yake tulianza kuyaona mwaka 2014 kwenye mnyukano wa uchaguzi wa serikali za mitaa.ambapo maeneo kama Arumeru mashariki kwa Nassari aliweza kuchukua vijiji zaidi ya 90 kutoka sufuri,pia Arusha mjini ambapo chadema ilizoa nusu ya mitaa yote ya jiji hilo.
Hiyo ni mifano ya kazi iliyofanywa na chadema kujijenga na kutambulika kwa wanachi ndio maana ilipokuja kwenye ubunge haikuwa kazi ngumu kwa chadema kushinda maeneo hayo.
Hata pamoja na ujio wa lowassa Chadema haikutakiwa kuacha mbinu iliyojiwekea yaani kuendelea kujenga chama kwenye msingi au kuendelea kujenga chama kama taasisi.
Badala yake chadema ilikuja na mbinu mbovu kabisa yakuwekeza kwenye mtu....mbaya zaidi mtu ambaye walimuita fisadi.
Chadema wakaikumbatia mbinu ya kuuza sura kwenye media...tukashuhidia picha za mafuriko za kutaka kuionesha CNN,BBC,ALJAZEERA n.k
Yaani chadema ikawekeza kwenye usanii wa kisiasa just to attract international media.
Kwa hili la kuvuta media za kimataifa walifanikiwa lakini aliyeneemeka ni Magufuli kwani kajikuta amepambwa katika siku yake ya kuzaliwa.
Mgombea wa Chadema alijiweka kwenye upande wa washindwa kuanzia siku ya kupiga kura pale aliposema hatakubali matokeo.
Mgombea wa chadema akakurupuka wakati matokeo yanatangazwa na kuanza kuililia tume.
Hizi ni dalili za mtu anayetumia mbinu ya kutafuta media attention.
Ushauri wangu kwa chadema turudi vijijini tuanze mchakamchaka wa kusimika mabalozi wa chadema na wanachama watiifu kwa chadema ambao mwaka 2020 wataipigia kura chadema no matter what happens hawa ndio wafuasi walionao ccm.
2020 chadema iingie na mtaji wa wanachama kadhaa kama ilivyo ccm ili kampeni ziwalenge wachache wasio na itikadi.
Chadema asilia haiwezi kuishi kwa kutegemea hisani ya mataifa ya kizungu hii ni mbinu ya watu wasiojiamini kama wanaweza kuifluence changes.
GROW UP CDM ....
Hii ni kwa hisani ya Chadema asilia.
Kamanda umesema ukweli kabisa. Chadema mafisadi walitumia mbinu za kitoto sana. Inawezekanaje kufanya usanii kwenye mambo ya kitaifa? Mtu amekuwa akisakamwa kwa ufisadi miaka yooote tena sisi wenyewe tukiongoza mapambano haya, Lissu na Dr Slaa wakiwa waandishi wa ile list of shame! Na kuitangaza hadharani. Leo hii eti wanamsafisha kirahisi tuu na kufikiri wananchi ni wajinga hivyo. Eti leo ni msafi. Basi ajenda kubwa iliyokuwa ikitubeba ya ufisadi ikafia hapo. Na wala haitaweza ibuka tena.MIMI NI MUUMINI MTIIFU WA SIASA ZA DR SLAA!!
MIMI NI CHADEMA ASILIA!!
Mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 Chadema chini ya ukatibu mkuu wa Dr Slaa iliendelea kupiga kelele nyingi moja ikiwa ni ya Dr Slaa kuibiwa kura lakini nyingine ikiwa ni kupambana na kuhitimisha utawala wa mafisadi.
Chadema pia iligundua mapema sana kuwa elimu ya kuikubali Chadema katika vijiji na mitaa haikufika sawasawa hivyo kulihitajika kazi kubwa kuwafikia wanavijiji na wanamitaa na kusimika ofisi za Chadema na mabalozi wa chadema huko 'site'
Kazi hii ilifanyika kwa ustadi mkubwa na matokeo yake tulianza kuyaona mwaka 2014 kwenye mnyukano wa uchaguzi wa serikali za mitaa.ambapo maeneo kama Arumeru mashariki kwa Nassari aliweza kuchukua vijiji zaidi ya 90 kutoka sufuri,pia Arusha mjini ambapo chadema ilizoa nusu ya mitaa yote ya jiji hilo.
Hiyo ni mifano ya kazi iliyofanywa na chadema kujijenga na kutambulika kwa wanachi ndio maana ilipokuja kwenye ubunge haikuwa kazi ngumu kwa chadema kushinda maeneo hayo.
Hata pamoja na ujio wa lowassa Chadema haikutakiwa kuacha mbinu iliyojiwekea yaani kuendelea kujenga chama kwenye msingi au kuendelea kujenga chama kama taasisi.
Badala yake chadema ilikuja na mbinu mbovu kabisa yakuwekeza kwenye mtu....mbaya zaidi mtu ambaye walimuita fisadi.
Chadema wakaikumbatia mbinu ya kuuza sura kwenye media...tukashuhidia picha za mafuriko za kutaka kuionesha CNN,BBC,ALJAZEERA n.k
Yaani chadema ikawekeza kwenye usanii wa kisiasa just to attract international media.
Kwa hili la kuvuta media za kimataifa walifanikiwa lakini aliyeneemeka ni Magufuli kwani kajikuta amepambwa katika siku yake ya kuzaliwa.
Mgombea wa Chadema alijiweka kwenye upande wa washindwa kuanzia siku ya kupiga kura pale aliposema hatakubali matokeo.
Mgombea wa chadema akakurupuka wakati matokeo yanatangazwa na kuanza kuililia tume.
Hizi ni dalili za mtu anayetumia mbinu ya kutafuta media attention.
Ushauri wangu kwa chadema turudi vijijini tuanze mchakamchaka wa kusimika mabalozi wa chadema na wanachama watiifu kwa chadema ambao mwaka 2020 wataipigia kura chadema no matter what happens hawa ndio wafuasi walionao ccm.
2020 chadema iingie na mtaji wa wanachama kadhaa kama ilivyo ccm ili kampeni ziwalenge wachache wasio na itikadi.
Chadema asilia haiwezi kuishi kwa kutegemea hisani ya mataifa ya kizungu hii ni mbinu ya watu wasiojiamini kama wanaweza kuifluence changes.
GROW UP CDM ....
Hii ni kwa hisani ya Chadema asilia.
Tume ya Lubuva NECCM haijalishi wewe ni cdm asili, cdm Lowassa wala umejipangaje kama taasis, wao lao ni moja tu. CCM ishinde.
Nani mwenye pesa mingi kati yako WEWE na huyo lowassa.
Kati yako wewe na Lowassa ni nani mwenye kipato cha UFUGAJI_NG'OMBE?....
Wizi wenu ndio umetufikisha hapa tulipo, na hata hili linaloendelea sasa kisiasa. WIZI.