Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 1,944
- 3,090
Ukitazama kwa umakini utagundua kuwa hakukuwa na sababu za msingi za kumkamata John Wegesa Heche.
Sasa sababu ni nini?
Wanatamani maandamano madogo ili kukwepeaha yale makubwa. Tusikubali .
Jamaa kama kuna kitu wanaogopa ni maandamano ya pamoja ya Tanzania nzima ,lengo lao wapate kamaandamano kadogo kisha watoke kipigo cha mbwa mwizi kitakachowaongezea hofu waandamanaji wa 29_10_2025 .
Wamejaribu mengi na Kuna mengi tuyatarajie lakini hayatafanikiwa, ndiyo maana wameona bora wamkamate Heche ili watu wakijitokeza wadeal nao kwa uzito wa kipigo cha mbwa mwizi , wazee tulieni, huyo hata wakitaka wakae nae ili wamuondolee sababu (maana hawakawii kuja kumuhusisha na yatakayotolea 29_October_2025 siku ambayo tunakwenda kumaliza nao
Hivyo viaskari vyao vigonjwagobjwa msiwaze ,tunakazi navyo hivyo tunakwenda kuvipaka mafuta hadharani na Dunia itaona.
Sasa sababu ni nini?
Wanatamani maandamano madogo ili kukwepeaha yale makubwa. Tusikubali .
Jamaa kama kuna kitu wanaogopa ni maandamano ya pamoja ya Tanzania nzima ,lengo lao wapate kamaandamano kadogo kisha watoke kipigo cha mbwa mwizi kitakachowaongezea hofu waandamanaji wa 29_10_2025 .
Wamejaribu mengi na Kuna mengi tuyatarajie lakini hayatafanikiwa, ndiyo maana wameona bora wamkamate Heche ili watu wakijitokeza wadeal nao kwa uzito wa kipigo cha mbwa mwizi , wazee tulieni, huyo hata wakitaka wakae nae ili wamuondolee sababu (maana hawakawii kuja kumuhusisha na yatakayotolea 29_October_2025 siku ambayo tunakwenda kumaliza nao
Hivyo viaskari vyao vigonjwagobjwa msiwaze ,tunakazi navyo hivyo tunakwenda kuvipaka mafuta hadharani na Dunia itaona.