Mbinu nzuri ya kumkamata mtu anayepokea rushwa

Mbinu nzuri ya kumkamata mtu anayepokea rushwa

Simplicity.

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
2,636
Reaction score
1,664
Habari zenu wakuu,

Ni njia ipi nzuri na rahisi ya kumkamata mtu anayetaka kupokea rushwa? Kwa mfano, mtu anataka rushwa ya hela na yuko tayari mkutane sehemu yoyote utakayopanga wewe ili umpe, je, utamkamataje kwamba anapokea rushwa?

Ningependa kumrekodi video, sasa si atashtuka! Au naweza kumrekodi kivipi?

Nipeni mbinu.
 
Huna haja ya picha, weka alama pesa zako then wajulishe takukuru halafu nenda kampe.
 
nakushangaa sana mkuu.hivi bongo hii bila rushwa maisha yatakwenda?kila mtu anakula madhabahuni kwake.kama hutaki kumpa bora umwambie kuliko kumuweka matatizoni.utakuta ka rushwa kenyewe laki mbili ndo umekuja mpaka huku.wakat watu wanapiga mabilioni na hao takukuru wako wako kimya.watz nawashangaa sana.
HII NDIYO SYSTEM YA MAISHA ILIVYO SASA HAPA BONGO.NA HAKUNA WA KUIBADILI.
 
Habari zenu wakuu,

Ni njia ipi nzuri na rahisi ya kumkamata mtu anayetaka kupokea rushwa? Kwa mfano, mtu anataka rushwa ya hela na yuko tayari mkutane sehemu yoyote utakayopanga wewe ili umpe, je, utamkamataje kwamba anapokea rushwa?

Ningependa kumrekodi video, sasa si atashtuka! Au naweza kumrekodi kivipi?

Nipeni mbinu.
Nani kakuambia kuwa ukimwambia mkutane mahala fulani yeye ndo anapokea hizo fedha? Kwa mfano ukikaribia sehemu ya kukutana, anakupigia simu fedha muachie shoe shine hapo njia panda, au hapo nje ya baa, kisha wewe ingia ndani tuongee, au ukiwa njiani karibu na sehemu ya kukutana unapigiwa simu, kuna muuza magazeti nyuma yako kavaa tshirt nyeusi na suarual blue mpatie hizo pesa alafu atakupa gazeti la nipashe, kisha njoo ndani hapa club. ukiingia ndani haongei lolote kuhusu hiyo ishu, atachukua gaazeti na kuanza kusoma, kisha baada ya muda anakuaga anaenda chooni, wakati unasubiri muhudumu anakuja anakwambia kuwa kuna ujumbe wako ndani ya gazeti, unakuta kunamaelezo yoyote unayoyataka na nini cha kufanya baada ya hapo.

Kama umeweka pesa zako alama ndo bye bye, kama umekuja na sound recorder yako utarekodi kelele za baa maana huwa wanakaa karibu nza spika za baa alafu anamuomba muhudumu aongeza sauti kidogo, kama una hidden camera unaambuliwa manyoya tu.
 
wapo trick Sana...afu thy know how games goes...hapokei hela kichwa kichwa...
 
Nani kakuambia kuwa ukimwambia mkutane mahala fulani yeye ndo anapokea hizo fedha? Kwa mfano ukikaribia sehemu ya kukutana, anakupigia simu fedha muachie shoe shine hapo njia panda, au hapo nje ya baa, kisha wewe ingia ndani tuongee, au ukiwa njiani karibu na sehemu ya kukutana unapigiwa simu, kuna muuza magazeti nyuma yako kavaa tshirt nyeusi na suarual blue mpatie hizo pesa alafu atakupa gazeti la nipashe, kisha njoo ndani hapa club. ukiingia ndani haongei lolote kuhusu hiyo ishu, atachukua gaazeti na kuanza kusoma, kisha baada ya muda anakuaga anaenda chooni, wakati unasubiri muhudumu anakuja anakwambia kuwa kuna ujumbe wako ndani ya gazeti, unakuta kunamaelezo yoyote unayoyataka na nini cha kufanya baada ya hapo.

Kama umeweka pesa zako alama ndo bye bye, kama umekuja na sound recorder yako utarekodi kelele za baa maana huwa wanakaa karibu nza spika za baa alafu anamuomba muhudumu aongeza sauti kidogo, kama una hidden camera unaambuliwa manyoya tu.

heeeee! hii ni mbinu juu ya mbinu, yaani nimecheka. kama mshakubalia kutoa na kupokea, si ampe tu jamani, ki rushw chenyewe unakuta laki mbili ndio za kwenda kupelekana jela khaa!!! kama sijisikii kutoa rusha mtu namwambia ukwel hiyo hela sina ila nisaidie nikipata nitakupa, usipo nisaidia wewe ni chanzo cha mimi kukwama basi.
 
heeeee! hii ni mbinu juu ya mbinu, yaani nimecheka. kama mshakubalia kutoa na kupokea, si ampe tu jamani, ki rushw chenyewe unakuta laki mbili ndio za kwenda kupelekana jela khaa!!! kama sijisikii kutoa rusha mtu namwambia ukwel hiyo hela sina ila nisaidie nikipata nitakupa, usipo nisaidia wewe ni chanzo cha mimi kukwama basi.
TECHMAN una uhusiano gani na rushwa au na mitandao ya rushwa maana haya maelezo yako ni ya kizoefu sana!
 
Last edited by a moderator:
Nani kakuambia kuwa ukimwambia mkutane mahala fulani yeye ndo anapokea hizo fedha? Kwa mfano ukikaribia sehemu ya kukutana, anakupigia simu fedha muachie shoe shine hapo njia panda, au hapo nje ya baa, kisha wewe ingia ndani tuongee, au ukiwa njiani karibu na sehemu ya kukutana unapigiwa simu, kuna muuza magazeti nyuma yako kavaa tshirt nyeusi na suarual blue mpatie hizo pesa alafu atakupa gazeti la nipashe, kisha njoo ndani hapa club. ukiingia ndani haongei lolote kuhusu hiyo ishu, atachukua gaazeti na kuanza kusoma, kisha baada ya muda anakuaga anaenda chooni, wakati unasubiri muhudumu anakuja anakwambia kuwa kuna ujumbe wako ndani ya gazeti, unakuta kunamaelezo yoyote unayoyataka na nini cha kufanya baada ya hapo.

Kama umeweka pesa zako alama ndo bye bye, kama umekuja na sound recorder yako utarekodi kelele za baa maana huwa wanakaa karibu nza spika za baa alafu anamuomba muhudumu aongeza sauti kidogo, kama una hidden camera unaambuliwa manyoya tu.

Hahaha kweli nimecheka cjui upo TRA?
 
Rushwa ipo na kila siku wla rushwa wanajifunza mbinu mpya za kula rushwa. Ukimkamata kwa njia hii wale waliobaki wanajifunza jinsi ya kui overcome hiyo njia. Je wadhani itaisha leo au kesho hapa nchini?
Hizo issue za Esrow na zinginezo zote ni rushwa kubwa kubwa za mabilioni na hazitoisha leo wala kesho.
 
Unafunga na kitambaa chekundu na cheusi unaacha pahala ambapo mtakutana.. Watu wengine watajua irizi/uchawi jamaa akija anachukua kilaini tu kama ananawaa
 
Nani kakuambia kuwa ukimwambia mkutane mahala fulani yeye ndo anapokea hizo fedha? Kwa mfano ukikaribia sehemu ya kukutana, anakupigia simu fedha muachie shoe shine hapo njia panda, au hapo nje ya baa, kisha wewe ingia ndani tuongee, au ukiwa njiani karibu na sehemu ya kukutana unapigiwa simu, kuna muuza magazeti nyuma yako kavaa tshirt nyeusi na suarual blue mpatie hizo pesa alafu atakupa gazeti la nipashe, kisha njoo ndani hapa club. ukiingia ndani haongei lolote kuhusu hiyo ishu, atachukua gaazeti na kuanza kusoma, kisha baada ya muda anakuaga anaenda chooni, wakati unasubiri muhudumu anakuja anakwambia kuwa kuna ujumbe wako ndani ya gazeti, unakuta kunamaelezo yoyote unayoyataka na nini cha kufanya baada ya hapo.

Kama umeweka pesa zako alama ndo bye bye, kama umekuja na sound recorder yako utarekodi kelele za baa maana huwa wanakaa karibu nza spika za baa alafu anamuomba muhudumu aongeza sauti kidogo, kama una hidden camera unaambuliwa manyoya tu.
Aaaaiiiseee! Nimechoka Sana....ngoja niamke nikaoge
 
nakushangaa sana mkuu.hivi bongo hii bila rushwa maisha yatakwenda?kila mtu anakula madhabahuni kwake.kama hutaki kumpa bora umwambie kuliko kumuweka matatizoni.utakuta ka rushwa kenyewe laki mbili ndo umekuja mpaka huku.wakat watu wanapiga mabilioni na hao takukuru wako wako kimya.watz nawashangaa sana.
HII NDIYO SYSTEM YA MAISHA ILIVYO SASA HAPA BONGO.NA HAKUNA WA KUIBADILI.
Huyo ana kesi na watu wa serikali za mitaa wanna msumbua so anataka ku waharibia
 
Nani kakuambia kuwa ukimwambia mkutane mahala fulani yeye ndo anapokea hizo fedha? Kwa mfano ukikaribia sehemu ya kukutana, anakupigia simu fedha muachie shoe shine hapo njia panda, au hapo nje ya baa, kisha wewe ingia ndani tuongee, au ukiwa njiani karibu na sehemu ya kukutana unapigiwa simu, kuna muuza magazeti nyuma yako kavaa tshirt nyeusi na suarual blue mpatie hizo pesa alafu atakupa gazeti la nipashe, kisha njoo ndani hapa club. ukiingia ndani haongei lolote kuhusu hiyo ishu, atachukua gaazeti na kuanza kusoma, kisha baada ya muda anakuaga anaenda chooni, wakati unasubiri muhudumu anakuja anakwambia kuwa kuna ujumbe wako ndani ya gazeti, unakuta kunamaelezo yoyote unayoyataka na nini cha kufanya baada ya hapo.

Kama umeweka pesa zako alama ndo bye bye, kama umekuja na sound recorder yako utarekodi kelele za baa maana huwa wanakaa karibu nza spika za baa alafu anamuomba muhudumu aongeza sauti kidogo, kama una hidden camera unaambuliwa manyoya tu.
😁😁😁😁😁Utaalamu ni wako? Wew ni hatareee
 
Nani kakuambia kuwa ukimwambia mkutane mahala fulani yeye ndo anapokea hizo fedha? Kwa mfano ukikaribia sehemu ya kukutana, anakupigia simu fedha muachie shoe shine hapo njia panda, au hapo nje ya baa, kisha wewe ingia ndani tuongee, au ukiwa njiani karibu na sehemu ya kukutana unapigiwa simu, kuna muuza magazeti nyuma yako kavaa tshirt nyeusi na suarual blue mpatie hizo pesa alafu atakupa gazeti la nipashe, kisha njoo ndani hapa club. ukiingia ndani haongei lolote kuhusu hiyo ishu, atachukua gaazeti na kuanza kusoma, kisha baada ya muda anakuaga anaenda chooni, wakati unasubiri muhudumu anakuja anakwambia kuwa kuna ujumbe wako ndani ya gazeti, unakuta kunamaelezo yoyote unayoyataka na nini cha kufanya baada ya hapo.

Kama umeweka pesa zako alama ndo bye bye, kama umekuja na sound recorder yako utarekodi kelele za baa maana huwa wanakaa karibu nza spika za baa alafu anamuomba muhudumu aongeza sauti kidogo, kama una hidden camera unaambuliwa manyoya tu.
Soma section 15 ya PCCA utapata majibu au sect 30 aid and abeiting Rushwa Ni pana mno
 
Back
Top Bottom