Mbinu hii itakusaidia kukabiliana na Ujenzi

Mbinu hii itakusaidia kukabiliana na Ujenzi

leodude

Member
Joined
Jun 18, 2019
Posts
28
Reaction score
41
Nimeona watu wengi wanavyohaha kuhusu ujenzi pengine sio kosa lao...unakuta mtu anapambana na kujenga nyumba kubwa mwishowe inamshinda.

Kama leo nimewaletea Ramani ya chumba kimoja masta, sebule, jiko na kibaraza kimoja ...hii Ramani ukitenga milioni 5 uhakika kumaliza.

Unajipanga tena unvuta rum mbili za mstatili na choo pembeni mwa hiyo ya kwanza , hiyo nyumba ya nje itakuwa ya watoto(kama unao) au ya wageni.

Basi umemaliza ujenzi wako kirahisi...tuishii kulingana na uwezo na sio kuwavutia wapitaji...kwa anyehitaji hiyo ramani anichek whatsap 0627571649

IMG_20211024_130736_638.jpg
 
Think big. Dream BIG. Act BIG. Kama mtu ana kiwanja kikubwa ni sawa kujenga hicho kiota kwanza sababu kitakuwa nyumba ya mlinzi au ya housegirl baadaye.

Otherwise, ni vizuri watu kuwa na njozi kubwa. Na tatizo la nyumba kubwa nyingi kutoisha ni kukata tamaa mambo yakiwa magumu.

Hata kama itachukua miaka kadhaa, ni afadhali mtu uweke lengo kubwa.
 
Nimeona watu wengi wanavyohaha kuhusu ujenzi pengine sio kosa lao...unakuta mtu anapambana na kujenga nyumba kubwa mwishowe inamshinda.

Kama leo nimewaletea Ramani ya chumba kimoja masta, sebule, jiko na kibaraza kimoja ...hii Ramani ukitenga milioni 5 uhakika kumaliza.

Unajipanga tena unvuta rum mbili za mstatili na choo pembeni mwa hiyo ya kwanza , hiyo nyumba ya nje itakuwa ya watoto(kama unao) au ya wageni.

Basi umemaliza ujenzi wako kirahisi...tuishii kulingana na uwezo na sio kuwavutia wapitaji...kwa anyehitaji hiyo ramani anichek whatsap 0627571649

View attachment 1986847
Hizi ni ndoto za kusadikika! Hiko kiwanja umenunua sh ngap mpka 5m ujenge nyumba
 
Think big. Dream BIG. Act BIG. Kama mtu ana kiwanja kikubwa ni sawa kujenga hicho kiota kwanza sababu kitakuwa nyumba ya mlinzi au ya housegirl baadaye.

Otherwise, ni vizuri watu kuwa na njozi kubwa. Na tatizo la nyumba kubwa nyingi kutoisha ni kukata tamaa mambo yakiwa magumu.

Hata kama itachukua miaka kadhaa, ni afadhali mtu uweke lengo kubwa.
Safi sana
 
Think big. Dream BIG. Act BIG. Kama mtu ana kiwanja kikubwa ni sawa kujenga hicho kiota kwanza sababu kitakuwa nyumba ya mlinzi au ya housegirl baadaye.

Otherwise, ni vizuri watu kuwa na njozi kubwa. Na tatizo la nyumba kubwa nyingi kutoisha ni kukata tamaa mambo yakiwa magumu.

Hata kama itachukua miaka kadhaa, ni afadhali mtu uweke lengo kubwa.
I agree with you
 
Umenena vyema Mkuu, Watu wajenge utamaduni wa kuishi kulingana na uwezo wao, vinginevyo utajikuta kwenye nyumba za kupanga miaka 60 kwa sababu ya kuanzisha ujenzi wa nyumba kubwa halafu hela zinakata,.Jenga kwanza saizi ndogo ukipata hela baadae unaweza kujenga mahali pengine nyumba nzuri kubwa unayopenda, na hiyo ya mwanzo unaweza kupangisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ku
Think big. Dream BIG. Act BIG. Kama mtu ana kiwanja kikubwa ni sawa kujenga hicho kiota kwanza sababu kitakuwa nyumba ya mlinzi au ya housegirl baadaye.

Otherwise, ni vizuri watu kuwa na njozi kubwa. Na tatizo la nyumba kubwa nyingi kutoisha ni kukata tamaa mambo yakiwa magumu.

Hata kama itachukua miaka kadhaa, ni afadhali mtu uweke lengo kubwa.
think big ni kitu kizuri ila kumbuka vipato vinatofautiana chief..na ww mwenyewe ni shahidi wa Maisha ya Kitanzania watu wangapi wanaishi kwa kuunga unga wengine kuwa na kajumba kadogo kama haka ni ndoto yake kubwa...kimtazamo tonatofautiana sana ivo ivo kwenye kipato
 
Ku

think big ni kitu kizuri ila kumbuka vipato vinatofautiana chief..na ww mwenyewe ni shahidi wa Maisha ya Kitanzania watu wangapi wanaishi kwa kuunga unga wengine kuwa na kajumba kadogo kama haka ni ndoto yake kubwa...kimtazamo tonatofautiana sana ivo ivo kwenye kipato
Kwa sisi waafrika, asilimia kubwa sana.. hakuna mtu aliyezaliwa na pesa. Pesa inatafutwa na inapatikana kama ukipambana vizuri na kuweka mipango mizuri. Hivyo hivyo, ukipambana na ku-plan vizuri na kutokata tamaa, nyumba kubwa na ya kisasa inawezekana sana. Ila kama mtu hautaki kupambana sana kimaisha, kielimu, kibiashara nk, unataka tu kuoa na kuzaa timu ya mpira bila mpango, wakati kipato hauna, mtu utazidi kuwa na maisha ya kuunga unga na ndoto zitakuwa ni ndogo tu siku zote. Kipato ni fikra, kupambana, na mipango ya mtu tu.
 
Kwa sisi waafrika, asilimia kubwa sana.. hakuna mtu aliyezaliwa na pesa. Pesa inatafutwa na inapatikana kama ukipambana vizuri na kuweka mipango mizuri. Hivyo hivyo, ukipambana na ku-plan vizuri na kutokata tamaa, nyumba kubwa na ya kisasa inawezekana sana. Ila kama mtu hautaki kupambana sana kimaisha, kielimu, kibiashara nk, unataka tu kuoa na kuzaa timu ya mpira bila mpango, wakati kipato hauna, mtu utazidi kuwa na maisha ya kuunga unga na ndoto zitakuwa ni ndogo tu siku zote. Kipato ni fikra, kupambana, na mipango ya mtu tu.
Ni kwel chief ila kwenye mafanikio kuna mambo mengi, Je mimi nina kosa gani kuandaa ramani ya chumba kimoja..ni kweli kuwa kila mtu ana uwezo wa mabangalow? kama ni ivo kwanini hii Ramani nimefanikiwa kuiuza kwa baadhi ya watu?tukiacha vichwa vitu vifikirie freely na bila kuwa wabinafsi , utajua watu tunatofautiana na ndo maana kuna maskini na matajiri mimi sion tatizo, beyond hapo ni watu kuwa na chuki na ninachofanya..
 
Back
Top Bottom