Naomba mambo mengine tufanye kusaidiana tu. Sio lazima kuliza watu hela kwa ramani ya chumba kimoja.
Ungeweka tu hapa ili kutoa msaada, ikiwa ni pamoja na floor plans, na estimation ya materials ili kujua hio 5 million tshs inatumikaje. Na kama mtu akiamua kukupa $$, atafanya hivyo. Angalia hii link tulivyomsaidia jamaa kupata ramani nzuri. Tusaidiane na mambo mengine usiweke pe$$a mbele.. tena chumba ni kimoja tu??
Nimeiboresha zaidi ili master bedroom iwe kubwa na pia inarahisisha kupaua Halafu hio nimeshaona. Bafu namba 2 itamsumbua sababu iko ktkt ya nyumba ambapo kwa Tanzania ni kweli itakuwa shida. Ngoja niibadilishe tena. 😂😂😂
www.jamiiforums.com