Mbinu chafu za mabeberu ni kudhamini vitendo vya uvunjifu wa amani

Jemmie

JF-Expert Member
Mar 6, 2018
216
285
“Miongoni mwa mbinu hizo ni kutoa fedha kwa vyama vya siasa vya upinzani ili kuandaa maandamano yasiyokwisha au kufanya mikutano ya kisiasa na kuzunguka nchi nzima kuanzisha ajenda ambazo zitakuwa zinazungumzwa mfululizo ili kupunguza nguvu ya serikali iliyo madarakani,” alieleza mtoa taarifa wetu ambaye alihitaji hifadhi ya jina lake.

Alibainisha kuwa njia hiyo ni rahisi kwa sababu mara nyinine kazi inayofanywa na mabeberu ni kuunga mkono tu kwa kutoa pesa hata kwa vikundi vya waasi vilivyotangaza kutaka kupindua serikali iliyopo madarakani, vinaweza kuwa vikundi vya wanajeshi au vikundi vilivyoanzishwa na vyama vya upinzani.
 
Zamani nilikuwaga nawaona watu wanaojitoa mhanga ni wapumbavu lakini sasa nawaona kuwa ni mashujaa ambao wanapaswa kukumbukwa kwa kuweka historia isiyofutika hapa duniani,na hili jambo la kujitoa mhanga linaweza kupata nafasi hapa nchini kama hatua sithiki za democracy hazijapatiwa muafaka.
 
“Miongoni mwa mbinu hizo ni kutoa fedha kwa vyama vya siasa vya upinzani ili kuandaa maandamano yasiyokwisha au kufanya mikutano ya kisiasa na kuzunguka nchi nzima kuanzisha ajenda ambazo zitakuwa zinazungumzwa mfululizo ili kupunguza nguvu ya serikali iliyo madarakani,” alieleza mtoa taarifa wetu ambaye alihitaji hifadhi ya jina lake.

Alibainisha kuwa njia hiyo ni rahisi kwa sababu mara nyinine kazi inayofanywa na mabeberu ni kuunga mkono tu kwa kutoa pesa hata kwa vikundi vya waasi vilivyotangaza kutaka kupindua serikali iliyopo madarakani, vinaweza kuwa vikundi vya wanajeshi au vikundi vilivyoanzishwa na vyama vya upinzani.
Ishi! Huyo naye sijui alikesha baa anakunywa K-Vant? Kanunue kongoro ule upumzike akili zitulie.
 
Aina ya uandishi Wa Musiba Ni Wa miaka ya 1960 kurudi nyuma. Ni mtu asiye na fikra wala dira. Anadhani kuandika upuuzi kutamuongezea ubora kwenye CV yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vipi wale makomunisti wa china waliowazawadia chuo cha siasa na misaada kedekede ninyi nyani wa kijani tuwaiteje?? magegedu??
hamna akili ninyi watu, kunya mnye nyie, wakinya wengine wamehara!
 
Back
Top Bottom