Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,589
- 3,639
Mbinguni halisi (kulingana na experience ya shuhuda za watu waliokwenda huko kwa muda) ni mbali na sayari yetu ya dunia...kumbuka sayari zinazoulikana (ziko nyingi tusizijua hadi sasa) zinaelea juu angani...huko kwingine ni ulimwenguni (universe) basi unapitalizaa weeeee unapandaa weeee mpaka mbinguni.
Ulimwengu hauna juu wala chini.Mkuu mbinguni ni juu angani, ndio maana hata Yesu alipoenda mbinguni hakuingia chini ila alienda hukohuko Juu, tatizo ni hatujui ni umbali gani ila ukielekea huko juu siku utafika tu.
"Mbinguni na mahali popote duniani" hii inaonyesha kuwa mbinguni sio Duniani
Ulimwengu hauna juu wala chini.
Muuu ili ujue juu na chini ya kitu lazima uwe na point of reference asa kwa ulimwengu unavosema juu una refer kitu gani? ukishakuwa kwenye space pande zote ni sawa ingekuwa kuna juu kama unavofikiria wanasayansi wangetuaje mwezini si wangeanguka tena huku chini duniani.Mkuu nipe tafsiri ya Juu na Chini ili twende sawa maana ake unaweza kuwa hata hujui maana zake.?? na kama unaamini Dunia ni tufe sababu zipi zinafanya ushindwe kutambua kuwa kuna Juu na Chini as long as sisi tunaishi nje ya Dunia.?
Muuu ili ujue juu na chini ya kitu lazima uwe na point of reference asa kwa ulimwengu unavosema juu una refer kitu gani? ukishakuwa kwenye space pande zote ni sawa ingekuwa kuna juu kama unavofikiria wanasayansi wangetuaje mwezini si wangeanguka tena huku chini duniani.
Asa kwa akiri yako kidogo hunoi mtu aliye upande mwingine wa globe huko juu mbinguni kwangu si kutakuwa chini kuzimu kwake.Sasa mkuu reference si wewe mwenyewe. tunapo zungumzia Juu tuna maanisha Juu ya sisi binadam au chini ya sisi binadamu. kwahyo hata mawingu yako chini yako au upande upi?? Legeza kichwa kdgo utaelewa.
Hujamuelewa mtoa mada anauliza kama mbingu haionekani au ipo kiroho kivipi Mnara wa babeli ulitaka kufika mbinguni yaani kama nimrod alitaka kufikia mbingu kwa jengo refu ila Mungu akazuia kwanini basi leo hii tuna marocket lakini hatufiki mbinguni??
Mimi najua ni wapi, ambatanisho niliweka linafana sana na ninavojuaSalute comrades,
Wakuu, naomba kufahamishwa, Mbinguni anapoishi Mungu ni wapi?
Ukisoma Biblia, Katekisimu etc zinasema Mungu yupo Mbinguni na mahali pote duniani. Je Mbinguni ni wapi?
Ni kule juu angani kwenye mawingu? Qur'an inasema zipo Mbingu saba na Mungu anaishi Mbingu ya saba, je Mbingu hiyo iko sehemu gani?
Pia tunaambiwa Nimrod na wenzie walijenga mnara ulikua unakaribia kufika Mbinguni kwa Mungu, je huko Mbinguni ni kule juu angani?
Kama Mbinguni ni huko juu angani mbona sasa hivi kuna vifaa mbalimbali ambavyo vinapita huko angani kwenda sayari zingine?
Mbona Mungu hayazuii kama alivyowazuia kujenga mnara wa Babeli sababu wanapita huko angani inaposadikika ndio Mbinguni.
Da'Vinci