maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,144
Ni kituko tu kinafanyika pale mkuu kwa kujenga kivuko cha waenda kwa miguu. Watoe wapi akili ya kujenga flyover?Kuna project naiona inaendelea pale siielewi, ni kama flyover inajengwa pale, either mbili au moja nimeona. Kuna upanuzi wa barabara ya kwenda na kutoka kwa magufuli. Kama una hints toa tuone kinachoendelea.
Nashindwa kuelewa kwa nini kuna project inaendelea na hakuna mchoro popote yaani bango kuonyesha nini kinafanyika.