Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Hapana acha lugha chafu. Hiyo picha iliyotumika ndiyo Hiyo? Kwa nini atumiwe picha tofauti? Kizazi kisichowezakujenga hoja! Jifunzeni kujenga hoja yenyewe vielelezo sahihi. Inawezekana shida ipo Tena Kubwa tu lakini utoaji taarifa feki. Wasomaji watahukumu hoja zako Na zangu nani zero! Umetoa taarifa Halafu unapiga yowe kuniambia niende Mbezi ina maana umeshindwa kujenga hoja. Hivyo Kila mtu aende mbezi? Duhh!Si uende mbezi ukahakikishe alafu uje uombe radhi unaemuita mchochezi...maarifa zero
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app