Mbeyacity jamani!

Mbeyacity jamani!

Godfreymwasubila

Senior Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
108
Reaction score
8
Jamani Wadau Na Watu Wote Wanaotoka Mkoani Mbeya tujitahidi kuifanya mbeya yetu ya kijani kwa kutokata miti ovyo,tuhfadhi uoto wa asili,tufanye haya ili kuendelea kutunza hadhi ya JIJI Kubatizwa Jina La GREENCITY
 
Wazo zuri,ila kwa usawa wa maisha huu ambao wengi wetu bado tunatumia kuni na mkaa kwa matumizi itakuwa ngumu!
Gesi yenyewe,umeme na mafuta ya taa vipo bei juu!
 
Wale wasafa kule miloma watakuelewa kweli? Na hivi wanavyokimbilia milimani kila wakisogelewa, watamaliza ukijani wote
 
Kweli Jembe La Greencity,fanya Mpango Tuonane Mwezi Wa 7 tukmalza chuo,tukapande miti mlima SIMIKE,coz nao ushakuwa kipara!GREENCITY FOREVER
 
Back
Top Bottom