Mbeya: Walimu wapya wa kike wapo hatarini kubakwa!

Mbeya: Walimu wapya wa kike wapo hatarini kubakwa!

ndinasyo

Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
67
Reaction score
16
Baada ya wizara ya elimu kutangaza ajira mpya za walimu na kutakiwa kuripoti wilayani, katika hali isiyo ya kawaida kuna mwalimu baada ya kuripoti wilayani apelekwa usiku baa alipokua mwalimu mkuu akipata kinywaji ili ampeleke kituo cha kazi ambapo ni umbali mrefu.

Je ni halali kumkabidhi mwalimu usiku na sehemu ambayo ni ya starehe na si kituo cha kazi, hivi sasa yule mwalimu mkuu ana kesi inadaiwa kuwa alimbaka yule mwalimu.

Je kosa lipo kwa nani hapo mwanajamii mwenzangu mwalimu mkuu au afisa elimu wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya.
Ahsanteni
 
Baada ya wizara ya elimu kutangaza ajira mpya za walimu na kutakiwa kuripoti wilayani, katika hali isiyo ya kawaida kuna mwalimu baada ya kuripoti wilayani apelekwa usiku baa alipokua mwalimu mkuu akipata kinywaji ili ampeleke kituo cha kazi ambapo ni umbali mrefu.

Je ni halali kumkabidhi mwalimu usiku na sehemu ambayo ni ya starehe na si kituo cha kazi, hivi sasa yule mwalimu mkuu ana kesi inadaiwa kuwa alimbaka yule mwalimu.

Je kosa lipo kwa nani hapo mwanajamii mwenzangu mwalimu mkuu au afisa elimu wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya.
Ahsanteni

Kosa kubwa lipo kwa afisa elimu wa wilaya. Makabidhiano ya kikazi yanatakiwa yafanyike kazini tena muda wa kazi, watanzania tunapindisha maadili ya kazi.Ni bora angempeleka moja kwa moja kwenye kituo cha kazi. Huwezi kwenda kumkabidhi mtu baa tena kwa mlevi ati ampeleke kituo cha kazi.
Afisa elimu wa wilaya ilitakiwa amtafutie malazi huyo mwalimu kwa sababu usiku ulikuwa umeshaingia, ili asubuhi yake ampeleke anapotakiwa.

Mwalimu mkuu nae ana kosa la kubaka, ambalo lingeepukika kama afisa elimu wa wilaya asingeenda kinyume na maadili ya kazi.
 
hata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu hawana faida yoyote kwenye jamii, ona walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia nyie acheni tu.
 
CHIBOLO walimu unaowachukia wasingekufundisha usingekuwa JF leo hii ukatoa comment yako.Ko usiwachukie ndugu.
 
Chibolo hauko njema kimawazo you need a change
 
Nawaoneaga huruma walimu wa kike kipindi cha kupangiwa kazi! Huwa wanabakwa na mijitu ya ajabu ajabu hata wengine kuambukizwa hiv
 
hata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu hawana faida yoyote kwenye jamii, ona walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia nyie acheni tu.

Utatia akili siku wakimbaka dada yako au ndugu wa karibu. Tumia busara kabla unaweka ujumbe
 
hata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu
hawana faida yoyote kwenye jamii, ona
walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia
nyie acheni tu.

(usiseme sisi haituhusu!sema mimi...!nadhani umekurupuka,umefanya research wapi na kuja na majibu mepesi kuwa walimu ndo wamefelisha wadogo zenu?hao waliofanya vizuri walikuwa wametengewa madarasa yao ukiwafundisha wewe?na walimu wa private nao hawafundishi? maana mnadai walimu wa serikali ndo wavivu.tafuta matokeo ya southern highland shule ya naibu waziri wa elimu mulugo uone madudu...!waombe radhi walimu mburula wewe!!!!sababu zipo nyingi,avoid generalization)
 
wewe cjui libolo/kibolo una matatizo ktk ubongo wako!nahisi ni ninyi mnaokuwa mnasinzia darasani wakati walimu wenu wanafundisha,leo unawalaumu nini?wamekukosea nin?au ni mdau wa zero za mwaka2012? walimu timizen fukama yenu kwa usahihi,nawapenda sana na fukama.
 
Ni ngumu kukoment ishu kama hii maana inahitaji ufafanuzi sana...
 
na uhakika ni muhimu sana pia, maana ansi hadithi huwa zinakuwa nyingi kuliko ukweli.
 
hata wakibakwa sisi haituhusu istoshe walimu hawana faida yoyote kwenye jamii, ona walivofelisha wadogo zetu jamani nawachukia nyie acheni tu.
Chibolo...id yenyewe utata.!!
 
Back
Top Bottom