Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 866
- 805
UCHAGUZI MREFA (MBEYA)
Habari ndugu zangu Wanamichezo.
Leo ni siku ya usaili kwa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Chama cha Mpira Mkoa wa Mbeya (MREFA).
Taarifa zilizipo ni kwamba Kamati ya Uchaguzi ya TFF inayoongozwa na Benjamin Kalume wamepanga kumkata Sadick Jumbe kwenye nafasi ya Mwenyekiti na kumuacha Elias Mwanjala peke yake.
Katika nafasi ya Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF wamepanga kuwakata Wagombea watatu na kumuacha Mohamed Mashango peke yake.
Na haya ni maagizo kutoka kwa Kigogo mmoja wa TFF.
Benjamin Kalume pamoja na wajumbe wako wa kamati tunakuonya utaharibu uchaguzi, tenda haki.
TFF mnakoelekea mnaharibu mpira na mtajutia hiki mnachokifanya
Habari ndugu zangu Wanamichezo.
Leo ni siku ya usaili kwa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Chama cha Mpira Mkoa wa Mbeya (MREFA).
Taarifa zilizipo ni kwamba Kamati ya Uchaguzi ya TFF inayoongozwa na Benjamin Kalume wamepanga kumkata Sadick Jumbe kwenye nafasi ya Mwenyekiti na kumuacha Elias Mwanjala peke yake.
Katika nafasi ya Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF wamepanga kuwakata Wagombea watatu na kumuacha Mohamed Mashango peke yake.
Na haya ni maagizo kutoka kwa Kigogo mmoja wa TFF.
Benjamin Kalume pamoja na wajumbe wako wa kamati tunakuonya utaharibu uchaguzi, tenda haki.
TFF mnakoelekea mnaharibu mpira na mtajutia hiki mnachokifanya