Mbeya: Soko la Uyole liwaka moto

Mbeya: Soko la Uyole liwaka moto

Sijatembelea Mbeya siku za karibuni lakini masoko ya Mbeya yamekithiri kwa uchafu na msongamano. Miaka michache iliyopita nilikuwa na tabia ya kwenda kununua ndizi kwenye lile soko lililoungua (Mwanjelwa?), kwa kweli kujua mahali ndizi zinapouzwa ilikuwa inabidi upelekwe na mtu ili kupita kwenye vichochoro vichafu ambavyo watu wawili wanapata shida sana kupishana. Ukitaka kutoka huko ndani tena ni lazima mtu akusindikize kukuonyesha barabara iliko.
 
Sijatembelea Mbeya siku za karibuni lakini masoko ya Mbeya yamekithiri kwa uchafu na msongamano. Miaka michache iliyopita nilikuwa na tabia ya kwenda kununua ndizi kwenye lile soko lililoungua (Mwanjelwa?), kwa kweli kujua mahali ndizi zinapouzwa ilikuwa inabidi upelekwe na mtu ili kupita kwenye vichochoro vichafu ambavyo watu wawili wanapata shida sana kupishana. Ukitaka kutoka huko ndani tena ni lazima mtu akusindikize kukuonyesha barabara iliko.

hii kali!!
 
from the words...au ni kiswahili kile mkuu....pale amewasiliana na 'CLUSTER' yake tuu.....ni maoni tu,au na sie wanyamwezi tuanze kuandika kinyamwezi tupu...amanke jamaa kapiga mistari yote kwa kimakonde!!loh

Mkuu kumbe wewe ni mtani wangu. Nilichoandika pale juu ni namna wasafwa wanavyolia pale wanapopatwa na majanga mazito; hiyo ni aina moja tu zipo nyingi.
 
Mkuu kumbe wewe ni mtani wangu. Nilichoandika pale juu ni namna wasafwa wanavyolia pale wanapopatwa na majanga mazito; hiyo ni aina moja tu zipo nyingi.

Hahahaaaa....mkuu nitaomba ka'twisheni kidogo' ili nisipitwe na haya mambo.....Pamoja sana kaka!!
 
Mbeya ni mji wa ajabu sana. nimeishi pale kama miaka 4. kuungua kwa masoko ni kawaida kwani wanachanganya mama lishe, mitumba, vifaa vya plastic. Kutokana na kukatika kwa umeme wengine hutumia vijenereta vinavyotumia petrol hivyo siyo ajabu kukuta vidumu vya petroli pia.
 
Back
Top Bottom