Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,139
- 6,050
Huyo mdada walimkosea tu kwani hajuwi kusoma ila alivalishwa tu hilo fulana.
"ROSE Mboma, mdogo wake wa mwisho Mkuu wa Majeshi Mstaafu (CDF) Generali Robert Mbona amekamatwa na Polisi wa Serikali ya Rais Magufuli jijini Mbeya kwa "kosa" la kusambaza picha ya binti aliyevaa fulana nyeusi yenye maandishi "NITAMCHAGUA MEMBE 2020" na amezuiwa dhamana.
Rose hajala toka asubuhi alivyokamatwa na yuko Kituo Kikuu. Tumpiganie Rose Mboma.
#FreeRoseMboma
#AchaWoga2020"
=======
UPDATES :1420hrs
ROSE Mboma ameachiwa huru kwa dhamana. Nawashukuru mliopata taarifa kwa muda mfupi lakini mkapiga kelele sana. Nakushukuru RPC Ulrich Matei kwa ushirikiano. Hukulijua lakini mara tu nilipokujulisha kwa hoja umechukua hatua stahiki. Tunahitaji maafande wanaochukua hatua kwa haraka. Ubarikiwe sana na wadau wote Mbeya bila kumsahau Mwanasheria Sambala. Mungu awabariki.
#AchaWoga2020
View attachment 1106553
"ROSE Mboma, mdogo wake wa mwisho Mkuu wa Majeshi Mstaafu (CDF) Generali Robert Mbona amekamatwa na Polisi wa Serikali ya Rais Magufuli jijini Mbeya kwa "kosa" la kusambaza picha ya binti aliyevaa fulana nyeusi yenye maandishi "NITAMCHAGUA MEMBE 2020" na amezuiwa dhamana.
Rose hajala toka asubuhi alivyokamatwa na yuko Kituo Kikuu. Tumpiganie Rose Mboma.
#FreeRoseMboma
#AchaWoga2020"
=======
UPDATES :1420hrs
ROSE Mboma ameachiwa huru kwa dhamana. Nawashukuru mliopata taarifa kwa muda mfupi lakini mkapiga kelele sana. Nakushukuru RPC Ulrich Matei kwa ushirikiano. Hukulijua lakini mara tu nilipokujulisha kwa hoja umechukua hatua stahiki. Tunahitaji maafande wanaochukua hatua kwa haraka. Ubarikiwe sana na wadau wote Mbeya bila kumsahau Mwanasheria Sambala. Mungu awabariki.
#AchaWoga2020
View attachment 1106553
Mbona wewe hujampelekea??
Mkuu hajavunja sheria yoyote ile ya nchi lakini hizi ni enzi za mwendawazimu, nduli na dikteta ambaye anapenda sana kutukuzwa utadhani yeye ni mungu! Kinyume cha hapo ataona ni ZEREU hivyo hukumu yake ni kupotezwa AKA KUUAWA.
Kosa vyote sio akili...duhhuyu tena ndo inatakiwa awe mfano kwa wenginer wanaojitia kimbelembele,anyongwe hadi afe,ili liwe fundisho.... I mean Maumba a.k.a Teleza
Rose ni CCM kindakindaki, ni ugombi wa ndugu sisi hautuhusu.
Membe ni wa hovyo sana.... Sana. Nyie hamumjui. Hafai kabisa.
Labda wana sharia wanisaidie; hivi kwa mfano mtu kama huyo akipelekwa mahakamani, atashkiwa kwa kosa gani? Halafu najiuliza tu, kwa mwanendo tunao kwenda nao sasa hivi, hivi kweli kabisa IPO sababu hata 1 ya police wetu kuwa wasomi hadi wa sheria? Najua wapo ma RPC, OCD nk wenye had shahada/degree za sheria, hvi ni za nini kwao? Udhalilishaji tu wa elimu hakika.
Wanisamehe tu Ila polisi ni vilaza kupitiliza. Vipi Kama atamchagua membe kuwa mume wake/mpenzi wake ikifika 2020?Hii kali!
Ipo siku atakamatwa wa JK maana hakuna alie salama.
Swali la msingi:kavunja sheria gani ya nchi?
Isitoshe,hapo huo ujumbe hauelezi ni Membe yupi na ni katika uchaguzi wa nini maana chaguzi ziko nyingi kuanzia za uraisi wa nchi,wa taasisi kama TFF,n.k.
Huu ni uoga uliopitiliza!
Kosa kafanya kampeni kabla ya muda.
Mkuu, Elimu yako tafadhali. Ni mwanasheria?
Hii kali!
Ipo siku atakamatwa wa JK maana hakuna alie salama.
Swali la msingi:kavunja sheria gani ya nchi?
Isitoshe,hapo huo ujumbe hauelezi ni Membe yupi na ni katika uchaguzi wa nini maana chaguzi ziko nyingi kuanzia za uraisi wa nchi,wa taasisi kama TFF,n.k.
Huu ni uoga uliopitiliza!
Mbona jiwe hajisikitikii wakati yeye na ww ndio wajinga daraja la kwanzaJisikitikie kwa kukosa ya huko juu..
Yana mwisho haya! Hata watu wa Sudan walikuwa mazoba kama sisi lakini siku itafikia ata usiwe na haraka na wasi endeleeni ukandamizaji wa haki za watu; ipo siku mtakipata mnachokitafuta