Huyu ndiye Rose Mboma?"ROSE Mboma, mdogo wake wa mwisho Mkuu wa Majeshi Mstaafu (CDF) Generali Robert Mbona amekamatwa na Polisi wa Serikali ya Rais Magufuli jijini Mbeya kwa "kosa" la kusambaza picha ya binti aliyevaa fulana nyeusi yenye maandishi "NITAMCHAGUA MEMBE 2020" na amezuiwa dhamana.
Rose hajala toka asubuhi alivyokamatwa na yuko Kituo Kikuu. Tumpiganie Rose Mboma.
#FreeRoseMboma
#AchaWoga2020"
=======
UPDATES :1420hrs
ROSE Mboma ameachiwa huru kwa dhamana. Nawashukuru mliopata taarifa kwa muda mfupi lakini mkapiga kelele sana. Nakushukuru RPC Ulrich Matei kwa ushirikiano. Hukulijua lakini mara tu nilipokujulisha kwa hoja umechukua hatua stahiki. Tunahitaji maafande wanaochukua hatua kwa haraka. Ubarikiwe sana na wadau wote Mbeya bila kumsahau Mwanasheria Sambala. Mungu awabariki.
#AchaWoga2020
View attachment 1106553
Huo mshati wa kijani wakati huo hautakuwa mwilini wala suruali nyeusi .Atakuwa anakimbia na singland juu chini boxer! 😂😂😂Acha kuwatishia nyau makamanda wewe! Muda huu uko mtaa wa Lumumba ukisubiria zamu yako ya kulipwa buku 7 yako!
Halafu uwaambie hapo lumumba wanaweza wakapambana na chadema na kuwashinda ila hawana ubavu wowote ule wa kupambana na nguvu ya umma! Ngoja muda ufike uone ni kwa namna gani utakimbilia vichochoroni ukiwa na huo mshati wako wa kijani.
Mkuu BASANORARE nioketee mahali namba za huyu dada. Natanguliza asante anafaa kwa matumizi ya nyumbani.Nimeiokota sehem tena inasemekana ile ya MEMBE ni edited tu wala siyo yeye kifupi ni WIVU TU
View attachment 1107263
Mletee chakula Rose ale hujazuiliwa.
Mahakamani kuna kitu kinaitwa circumstantail evidence yanai mazingira ya tukio yanajenga ukweli wa jambo.
Circumstantial ni kwamba hizo t-shirts umesema zina maneno "Nitamchagua Membe 2020".
Je, maneno nitamchagua yanatumika kwa ajili ya uchaguzi upi?
Je, anaweza kuthibitisha kuliwahi kuwepo T-Shirt ambazo haziendani na uchaguzi?
Je,Membe anayemsema atamchagua kwa lipi?
Neno tu nitamchagua lina maana ya kuhamasisha ni kampeni.
Kwani Mkuu wa Majeshi huwa akistaafu huwa anastaafu pia na Jeshi lote na kwamba huwa bado linakuwa chini yake hadi Kufa Kwake kiasi kwamba bado tu atakuwa na ' Order ' nalo? Kuna Watu hapa JamiiForums ni ' Mapopoma Waandamizi ' hadi mnatufanya tuhoji kama kweli ' Ubongoni ' mwenu nanyi mliwekewa Madini ya ' Akili ' kama yaliyowekwa kwa Wanadamu ( Great Thinkers ) wengine kwani huwa mnakuja na ' Hoja ' ambazo ni za ' hovyo hovyo ' mno.
Uwezo wa kufikiri unapokuwa duni ndio maana yule pongo alipoulizwa ".... uzito wake unaujua... akajibu siujui!!! Je ni kweli ni mwepesi kama karatasi? Akajibu tena ....sijui"Hii kali!
Ipo siku atakamatwa wa JK maana hakuna alie salama.
Swali la msingi:kavunja sheria gani ya nchi?
Isitoshe,hapo huo ujumbe hauelezi ni Membe yupi na ni katika uchaguzi wa nini maana chaguzi ziko nyingi kuanzia za uraisi wa nchi,wa taasisi kama TFF,n.k.
Huu ni uoga uliopitiliza!
Hii kali!
Ipo siku atakamatwa wa JK maana hakuna alie salama.
Swali la msingi:kavunja sheria gani ya nchi?
Isitoshe,hapo huo ujumbe hauelezi ni Membe yupi na ni katika uchaguzi wa nini maana chaguzi ziko nyingi kuanzia za uraisi wa nchi,wa taasisi kama TFF,n.k.
Huu ni uoga uliopitiliza!
"ROSE Mboma, mdogo wake wa mwisho Mkuu wa Majeshi Mstaafu (CDF) Generali Robert Mbona amekamatwa na Polisi wa Serikali ya Rais Magufuli jijini Mbeya kwa "kosa" la kusambaza picha ya binti aliyevaa fulana nyeusi yenye maandishi "NITAMCHAGUA MEMBE 2020" na amezuiwa dhamana.
Rose hajala toka asubuhi alivyokamatwa na yuko Kituo Kikuu. Tumpiganie Rose Mboma.
#FreeRoseMboma
#AchaWoga2020"
=======
UPDATES :1420hrs
ROSE Mboma ameachiwa huru kwa dhamana. Nawashukuru mliopata taarifa kwa muda mfupi lakini mkapiga kelele sana. Nakushukuru RPC Ulrich Matei kwa ushirikiano. Hukulijua lakini mara tu nilipokujulisha kwa hoja umechukua hatua stahiki. Tunahitaji maafande wanaochukua hatua kwa haraka. Ubarikiwe sana na wadau wote Mbeya bila kumsahau Mwanasheria Sambala. Mungu awabariki.
#AchaWoga2020
View attachment 1106553
Kisheria anakuwa amekosea kifungu kipi?
kama hakipo, polisi kamateni watu kitaalam
Upo sahihi mkuu, hakika nakwambia ukivaa ilioandikwa nitamchagua JPM 2020 hakuba ataekae kubugudhi.
WE JAMAA UMENICHEKESHA HII WIKEND IMEKUWA POA THOUGH OUT OF SALALRYanatumiwa na mabeberu
Salario lishasoma mkuu .WE JAMAA UMENICHEKESHA HII WIKEND IMEKUWA POA THOUGH OUT OF SALALRY
OKSalario lishasoma mkuu
Au angevaa hii angekamatwa?Kwani kuvaa fulana yenye kubeba ujumbe ni kosa? Au angevaa fulana iliyoandikwa "CCM mbele kwa mbele" angekamatwa?