Mbeya: Rose Mboma akamatwa na Polisi kwa kusambaza picha zenye Ujumbe "Nitamchagua Membe 2020"

Mkuu point yako ni nini ? Sawa anakuwa hana order lakin bado anainfluence, mfano rahis tu, kwenye ile list ya wauza unga wa ugali bwana riz alikuwepo lakin ulimwona ye kwenda kulala police ? Unadhan kwanini ? Your not thinking straight, are you ?...Unadhan mtu tu wa kawaida ukatoka hapa ukaenda na mboma police mtapata treatment sawa ? This is Africa and we all know how things operate, mtu akiwa madarakan anaweka watu wake akija kusepa wanamprotect as kurudisha fadhila...Umeongelea magreat thinker alafu wewe mwenyewe hufikirii kama magreat thinker ulowasema

Mbipu Mwenyezi Mungu ili akikupigia umwambie akupe Madini zaidi ya ' Akili ' ambayo huna na alisahau Kukuwekea alipokuwa akikuumba.
 
Mbipu Mwenyezi Mungu ili akikupigia umwambie akupe Madini zaidi ya ' Akili ' ambayo huna na alisahau Kukuwekea alipokuwa akikuumba.

watu kama wewe wakati nasoma shule nlikuwa nawacheka sana yan jitu kubwa kubwa alafu kichwani hamna kitu, sasa wakati wa mtihani linahangaika kama linataka kukata kauli...Mungu akunyime vyote ila akupe brains mkuu...we endelea tu kuwanyenyekea binadamu wenzako ivyo ivyo....
 
watu kama wewe wakati nasoma shule nlikuwa nawacheka sana yan jitu kubwa kubwa alafu kichwani hamna kitu, sasa wakati wa mtihani linahangaika kama linataka kukata kauli...Mungu akunyime vyote ila akupe brains mkuu...we endelea tu kuwanyenyekea binadamu wenzako ivyo ivyo....

Huwa sisumbuliwi Kichwa au kupotezewa Muda na ' Morosoph ' wa mfano wako hapa Jamvini JamiiForums. Pole sana / mno.
 
"ROSE Mboma, mdogo wake wa mwisho Mkuu wa Majeshi Mstaafu (CDF) Generali Robert Mbona amekamatwa na Polisi wa Serikali ya Rais Magufuli jijini Mbeya kwa "kosa" la kusambaza picha ya binti aliyevaa fulana nyeusi yenye maandishi "NITAMCHAGUA MEMBE 2020" na amezuiwa dhamana.
Rose hajala toka asubuhi alivyokamatwa na yuko Kituo Kikuu. Tumpiganie Rose Mboma.
#FreeRoseMboma
#AchaWoga2020"

=======

UPDATES :1420hrs

ROSE Mboma ameachiwa huru kwa dhamana. Nawashukuru mliopata taarifa kwa muda mfupi lakini mkapiga kelele sana. Nakushukuru RPC Ulrich Matei kwa ushirikiano. Hukulijua lakini mara tu nilipokujulisha kwa hoja umechukua hatua stahiki. Tunahitaji maafande wanaochukua hatua kwa haraka. Ubarikiwe sana na wadau wote Mbeya bila kumsahau Mwanasheria Sambala. Mungu awabariki.
#AchaWoga2020
View attachment 1106553

Hivi hawa polisi wanatatizo gani au ndo kulinda vitumbua vyao.
Katiba inasema kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake. Sasa huyo amesema atamchagua Membe.
Mbona wanaotangaza kumchagua Magufuli na kutangaza kwenye vyombo vya habari nia yao ya kuomba aongezewe muda wa kutawala hawachukuliwagihatua.

Nionavyo mimi huu ni uminywaji wa haki ya mtu. Hajamlazimisha mtu, kajisemea yeye mwenye, sasa kwani nini kumkamata?
 
Hii kali!

Ipo siku atakamatwa wa JK maana hakuna alie salama.

Swali la msingi:kavunja sheria gani ya nchi?

Isitoshe,hapo huo ujumbe hauelezi ni Membe yupi na ni katika uchaguzi wa nini maana chaguzi ziko nyingi kuanzia za uraisi wa nchi,wa taasisi kama TFF,n.k.

Huu ni uoga uliopitiliza!
Pia anaweza akawa kwenye uchaguzi wa mpenzi
 
"ROSE Mboma, mdogo wake wa mwisho Mkuu wa Majeshi Mstaafu (CDF) Generali Robert Mbona amekamatwa na Polisi wa Serikali ya Rais Magufuli jijini Mbeya kwa "kosa" la kusambaza picha ya binti aliyevaa fulana nyeusi yenye maandishi "NITAMCHAGUA MEMBE 2020" na amezuiwa dhamana.
Rose hajala toka asubuhi alivyokamatwa na yuko Kituo Kikuu. Tumpiganie Rose Mboma.
#FreeRoseMboma
#AchaWoga2020"

=======

UPDATES :1420hrs

ROSE Mboma ameachiwa huru kwa dhamana. Nawashukuru mliopata taarifa kwa muda mfupi lakini mkapiga kelele sana. Nakushukuru RPC Ulrich Matei kwa ushirikiano. Hukulijua lakini mara tu nilipokujulisha kwa hoja umechukua hatua stahiki. Tunahitaji maafande wanaochukua hatua kwa haraka. Ubarikiwe sana na wadau wote Mbeya bila kumsahau Mwanasheria Sambala. Mungu awabariki.
#AchaWoga2020
View attachment 1106553
Kiherehere chake,ngoja wamkomeshe.Kwanza anajuaje kama jina lake litapita 2020 au hata kama atafanikiwa kuwepo kwenye kinyang'anyiro cha urais 2020.Na hata kama akiwepoo,kwani angepoteza nini kama angenyamaza halafu akamchagua,si kura ni siri?
 
Hii kali!

Ipo siku atakamatwa wa JK maana hakuna alie salama.

Swali la msingi:kavunja sheria gani ya nchi?

Isitoshe,hapo huo ujumbe hauelezi ni Membe yupi na ni katika uchaguzi wa nini maana chaguzi ziko nyingi kuanzia za uraisi wa nchi,wa taasisi kama TFF,n.k.

Huu ni uoga uliopitiliza!

Ni hatari sana ktk taifa kuwa Na viongozi wasiojiamini,uogopa vivuli vyao.
 
Kabla ya uchaguzi tutaona mengi ... amekamatwa kwa amri ya nani? Na kwa kosa lipi?

Hakuna kesi hapo hata ukivaa,hicho ni kipimo cha IQ ndogo za walioamuru,huo ni ujumbe usio jitosheleza au mlengi MTU
 
Kiherehere chake,ngoja wamkomeshe.Kwanza anajuaje kama jina lake litapita 2020 au hata kama atafanikiwa kuwepo kwenye kinyang'anyiro cha urais 2020.Na hata kama akiwepoo,kwani angepoteza nini kama angenyamaza halafu akamchagua,si kura ni siri?

Hakuna kesi hapo we ndo umetasfiri hivo je yeye kama ana maanisha kijijini kwao kuna MTU mwenye jina hilo au kwenye umoja wao Na wako kwenye kampeni.Mtaviogopa hadi vivuli vyenu sababu ya matendo yenu
 
Hakuna kesi hapo we ndo umetasfiri hivo je yeye kama ana maanisha kijijini kwao kuna MTU mwenye jina hilo au kwenye umoja wao Na wako kwenye kampeni.Mtaviogopa hadi vivuli vyenu sababu ya matendo yenu
Hongera kwa kubadili gear angani.
 
51 Reactions
Reply
Back
Top Bottom