Maisha magumu?Mwanamke mmoja mkazi wa Kata ya Ilemi jijini Mbeya ambaye pia ni mfanyabiashara wa nafaka katika soko la Sido mkoani humo anatuhumiwa kumnyonga mtoto wake wa miaka 4.
Chanzo cha mauaji hayo bado hakijafahamika.
Hiyo inaweza kuwa ugumu wa maisha au hasira kwa mzazi mwenzieMaisha magumu?
Masharti ya mganga?
Hasira kwa mzazi mwenzie?
Kuchanganyikiwa?
Kurogwa?
Maisha magumu?
Masharti ya mganga?
Hasira kwa mzazi mwenzie?
Kuchanganyikiwa?
Kurogwa?