pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Hapo wanyonge tu
Mkuu usijichanganye, hawa watu wako vzr sana watakuwa walijua mzee anaweza kupata fedha na mbona maelezo yako wazi!!!Huyo mzazi kuna jambo nyuma ya pazia kalifanya mpaka hao watekaji watake auze nyumba...
Mzazi anatakiwa achunguzwe...
Cc: mahondaw
Mkuu usijichanganye, hawa watu wako vzr sana watakuwa walijua mzee anaweza kupata fedha na mbona maelezo yako wazi!!!
Hawaji kuteka mtoto kama hawajui kuwa una hela au namna ya kupata hiyo hela
Acha uongo , uchochezi na upashikuna mheshimiwa anakuja MbeyaHuko mbeya kulikoni mbona matukio ya kutisha kwa watoto yanatikisa sana ??? Serikali ijaribu kufatilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwe mvivu kusoma.aisee.hao jamaa wana roho ya kinyama.wakipatikana wakatwe kiungo kimoja kimoja mpaka wafe
Usiwe mvivu kusoma.aisee.hao jamaa wana roho ya kinyama.wakipatikana wakatwe kiungo kimoja kimoja mpaka wafe
Mara ngapi! Usiwe mvivu kusoma.Nadhan watu wa cyber wanaweza kufanikisha kukamatwa kwa hawa jamaa! Huu ni uuaji wa kutisha
Acha uongo , uchochezi na upashikuna mheshimiwa anakuja Mbeya
Unaposema Mbeya wazee wa matukio. Hafu kuna watu hawasomi wakaelewa au wanasoma kichwa habar anacommentUongo upi? Uchochezi upi??? Upashikuna upi huo?? Kwa mujibu wa habari kwenye nyuzi za mtoa mada pitia utanielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku mungu anakaa mdomoni kwa nyimbo lakini rohoni mashetani wamejenga gorofa.Huko mbeya kulikoni mbona matukio ya kutisha kwa watoto yanatikisa sana ??? Serikali ijaribu kufatilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku mungu anakaa mdomoni kwa nyimbo lakini rohoni mashetani wamejenga gorofa.
Unaposema Mbeya wazee wa matukio. Hafu kuna watu hawasomi wakaelewa au wanasoma kichwa habar anacomment
Mkuu,ndio umeiona leo hii habari nini!!!!ipo kabla ya Pasaka