Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,335
- 17,615
Uzunguni kulipangwa na wazungu na uswahilini kuilipangwa na wawahili.
Na kila mji una maeneo ya namna hii.... walipoingia waswahili sasaUzunguni kulipangwa na wazungu na uswahilini kuilipangwa na wawahili.
Kamwambie baba yako bichwa la kenge aache kukufundisha upuuzi.Utahamia huko na Mwajuma ndala ndefu?
Nyau wewe!
Kama ukitaka kufananisha na Ulaya, kweli ni bado sana. Si unaona neighbourhood za Ulaya zilivyoAfrica bado sana😂😁
Umesahau ILEMI mkuuramani za Mkoloni hizo, Za kwetu ni zile za mabatini na Kabwe
Hii ni too much exaggeration 😂😂😂Mambo ni safi sana huko, chips za buku jero unapata ndoo nzima.