Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 5,894
- 11,782
Mbeya licha ya kuwa na mitaa mingi iliyojengwa hovyo bila mpangilio, lakini mtaa wa Uzunguni ni mzuri sana
Uzunguni kumepangiliwa vizuri, kuna miti mingi, hata hali ya hewa ya utofauti, na majengo yameachiana space, kati ya jengo moja na lingine. Uzunguni ni mtaa ambao upo kimya sana, kiasi kwamba hadi sauti za ndege wakiimba unazisikia. Pako kimya sana na hakuna watu wengi, unaweza kutembea dakika 10 usikutane na mtu njiani
Hakika natamani Tanzania iwe na mitaa mingi ya namna hii
Picha za Uzunguni
Uzunguni kumepangiliwa vizuri, kuna miti mingi, hata hali ya hewa ya utofauti, na majengo yameachiana space, kati ya jengo moja na lingine. Uzunguni ni mtaa ambao upo kimya sana, kiasi kwamba hadi sauti za ndege wakiimba unazisikia. Pako kimya sana na hakuna watu wengi, unaweza kutembea dakika 10 usikutane na mtu njiani
Hakika natamani Tanzania iwe na mitaa mingi ya namna hii
Picha za Uzunguni