MBEYA mjini wana matatizo gani

Mtoa mada hebu elezea zaidi tufahamu maana chongo kwa mnyamwezi kwa mswahili amri ya mungu.kwa kuwa umegusa kidonda hebu elezea yaliyosemwa na mbunge sugu kwenye selection ya wanafunzi kwenda kidato cha kwanza kama ulikuwepo.
 
Hivi mbunge kama huyu anaweza kweli kuwakilisha wasomi , maprofesa na wafanyabiashara wa mji wa mbeya. Ataongea nini? Ana upeo gani? Ana elimu gani? Hajawahi kuwa hata monita wa darasa au mjumbe wa nyumba 10

Mkuu, unajikinga mvua kwenye pango halafu unajisaidia haja kubwa kabla mvua haijaisha? Si yatakunukia mwenyewe? Si bora hao wa mbeya wamemchagua sugu? Wa makambako waliemchagua jah people aliyeishia std one utawaitaje? Au hao hawaguswi coz wamemchagua mwana magamba?
 
Hapo umenena kwa sababu wa makambako ni mwanamagamba ndio maana hajamsema kamwona mwanamagwanda tu mkuu.
 

Isikupe taabu mkuu, uchaguzi mwingine tutajifunza kuchagua MCHAWI kama Maji marefu, tutajifunza toka kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…