Mkuu, unajikinga mvua kwenye pango halafu unajisaidia haja kubwa kabla mvua haijaisha? Si yatakunukia mwenyewe? Si bora hao wa mbeya wamemchagua sugu? Wa makambako waliemchagua jah people aliyeishia std one utawaitaje? Au hao hawaguswi coz wamemchagua mwana magamba?