Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Niliposikia tamko la Waziri wa Afya kuwa sasa hivi hakuna tena Hospitali za serikali kuzuia maiti za Watanzania ambao wamefariki na kuacha madeni nikamkumbuka mbunge wa Mbeya Mjini.
Hakika mbunge huyu ambaye kuna figisu zinafanyika kumtoa ili kumuingiza mama mmoja kwa njama ni hazina kubwa sana na sidhani kama watu wa Mbeya watakubali hadaa hiyo.
Watapambana kulinda jimbo lao kuwekwa mtu kwa manufaa ya viongozi na sio manufaa yao.
Alilianzisha kwa style yake kama ya hip hop lakini hatimae limekuwa faida kwa wengi wanaofiwa na hawana uwezo. Msikilizeni hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mbunge huyu ambaye kuna figisu zinafanyika kumtoa ili kumuingiza mama mmoja kwa njama ni hazina kubwa sana na sidhani kama watu wa Mbeya watakubali hadaa hiyo.
Watapambana kulinda jimbo lao kuwekwa mtu kwa manufaa ya viongozi na sio manufaa yao.
Alilianzisha kwa style yake kama ya hip hop lakini hatimae limekuwa faida kwa wengi wanaofiwa na hawana uwezo. Msikilizeni hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app