Mbeya long time kitambo

Kambosonic na mwenzie muradix ilikua cha mtoto kwa majaa furani walikua olevel pale sangu nimesahau majina yao,wakitoka darasani kwenda toilet wanapanga mstari mmoja huku wakidunda balaa!
 
Mbona Wane hujamtaja mkuu? au wewe ulikua humkimbilii na mangongoti yake? Dah kitambo enzi hzo Sugu anavalia suruali matako nje
 
Kulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka
"mswanga " alikuwa ni wa kimataifa!
 
Kuna dogo alikuwa anacheza sana sarakasi alikuwa anaitwa PINDU alikuwa mara kwa mara anazunguka mji akionyesha michezo
 
ni kweli aiseh huyo Bob G mtoto wake mmoja ni rafiki yangu.....Jamaa alikuwa hatari sana kwa magendo huyo.
 
kuna jamaa alikuwa anaitwa JAPIPO alikuwa giant fulani hivi, na mchezaji wa timu ya Stand Uyole pale,,,,,Jamaa alisifika kwa kuwa na mashuti sana uwanjani. Alikuwa beki matata sana
 
Forest.Jitambulishe.Wewe ni nani?
 
Forest.Jitambulishe.Wewe ni nani?
Nilichomoka longtime kitambo miaka kumi na tano sijarudi huko .....by the way utambulisho ndio hilo rass jeff kapita....hiyo timu ya forest nimecheza na akina robyo mwasalemba,hamis chepe chepelino.....maja,zungu,abuu kasanga
etc,etc ...niambie ww unatokea angle ipi ......ama ww ni mtoto wa mzee nani nitakuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…