Lyrics Master
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 482
- 681
Habari Wakuu,
Nimesafiri Mbeya kikazi, Nina uchovu wa safari manake nimesafiri na private car.
Hivi hapa Mbeya kuna sehemu naweza pata huduma ya massage yaani ile hot massage na mabinti warembo wenye kujua kazi yao...
Nitashukuru kama nitapatiwa na Bei zake..
Ahsanteni Sana
Nimesafiri Mbeya kikazi, Nina uchovu wa safari manake nimesafiri na private car.
Hivi hapa Mbeya kuna sehemu naweza pata huduma ya massage yaani ile hot massage na mabinti warembo wenye kujua kazi yao...
Nitashukuru kama nitapatiwa na Bei zake..
Ahsanteni Sana
!,ushawahi kusafiri km3000 na lori wewe si ndio utakufa kabisa